FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

 
Kuna timu ina wakati mgumu sana. Maana ikifanikiwa kufuzu hatua ya fainali, inakutana na kisiki cha mpingo!
Ikishindwa na kupambania mshindi wa tatu, napo itakutana na kisiki kingine cha mpingo!

Naona malengo ya waandaji yameenda tofauti kabisa na matarajio.
 
Kisiki cha mpingo kitakutana na KONDE BOY na kitachongwa na kugeuzwa kinyago cha mpapure.
😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…