The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Susa. Wenzio tunakulaKwa upumbavu huu niliouona ktk mechi hii ..simba vs fountain..
Nasema hamji kuniona tena ktk jukwa hili. No mara waa . Huu ni upumbavu.
TFF ni wapumbavu wakubwaa.
Im done.
Labda kwa hisani ya tff na refa wao.Nyie tutawafunga mapemaa
Kupendelewa na kuonewa ni sehemu ya maamuzi muhimu sana kwenye soka.Kwa upumbavu huu niliouona ktk mechi hii ..simba vs fountain..
Nasema hamji kuniona tena ktk jukwa hili. No mara waa . Huu ni upumbavu.
TFF ni wapumbavu wakubwaa.
Im done.
Na ni Simba hii hii iliifunga Singida goli 3, lkn leo imebidi itegemee hisani ya refa. Kuhusu kufungana, msimu uliopita hata Simba alibanduliwa na Yanga kwenye ngao ya jamiiOP canfi usisahau simba hii isiyo na ubunifu na average ndio aliwafunga msimu uliopita, weka akiba ya maneno football ina mambo mengi unless otherwise uwe umechagua upande wa ushabiki maandazi, lakini kama ni mtu wa football utakuwa unanielewa ninachokizungumza, itβs a football. [emoji1666]
Kwani nyie pia si mlifungwa kwenye ngao ya jamii?Wakati tunawafunga 2 tulikuwa na team?
Ajabu sanaIv huu ndio usajil wa billion 3 mwamed aliokua anausema au β¦ila Mudi mjanja sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mpira upi? wa leo?Msiemtaka kaja..mlitegemea Singida ndio awe ngao yenu...mmefeli
Simba kacheza na timu ngumu sana,Singida wapo imara sanaaa,Jpili ni kumsukuma mlevi tuHakuna kitu kitamu kama kumtanguliza demu Lodge[emoji28]
Sasa sisi inatuhusu niniKwa upumbavu huu niliouona ktk mechi hii ..simba vs fountain..
Nasema hamji kuniona tena ktk jukwa hili. No mara waa . Huu ni upumbavu.
TFF ni wapumbavu wakubwaa.
Im done.