SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Unamtoa Kakolanya ili ubaki na Ally Salim.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Simba haichezi fainali sasaHaijamshinda anatekeleza maelekezo aliyopewa kuwa lazima Simba ichsze fainali
Azam nikikutana naye huwa hachezi kama janaWe azam unamuweza?
Linganisha mpira unaochezwa hapo na wa janaWewe na singida ni nani na nani?
Refa ana maelekezohakuna refa hapa
Mimi huwa sioni umuhimu wake uwanjani, huyu ilifaa awe anakuja kufunga kazi dk 20 za mwisho (kama ikihitajika).Sijui kwanini Father Ntiba Bujumbura asingekuwa anawekwa the last 15 or 20minutes
Tukifungwa leo timu apewe GuadiolaAtaingia second half mapema, asipomweka basi atamuweka simba tushapigwa kuondoa lawama
Wenzako wenyewe wameona mpaka aibu. Unajichetua akili.Refa Kafanyaje....?
Kakataa bao au Katoa penati...!
Au Malalamiko Fc Wanajikumbushia enzi zao za Malalamiko...
Hilo haliwezekaniutakutana nae mshindi wa 3 acheze nusu ya singida
Anataka tukutane fainaliHuyu mwamuzi anazingua
Ukiwa na jicho la kimpira utaelewa ninachosema na sio lazima uelewe
Tutawanyoa mkuuAnataka tukutane fainali
Hii shoo ni Dubai au uturuki au masaki ?Wakati simba anatolewa kamasi na timu isiyo na viwango vya kimataifa tupate tangazo kidogo kutoka kwa wadhamini wetu OKW BOBAN SUNZU Na GENTAMYCINE
View attachment 2713828
Mtafanya nnomba tukutane na refa awe huyu huyu ndo utajua yanga ni nan
Una angalia mechi gani?Singida washaanza kukata moto ,lakini hii mechi siyo kwamba refa anapendelea timu flani bali hajui kuchezesha
AahaaaaHuyu refa msenge anatudhalilisha
Niogope nini kwa kosi hili ambalo ninalo?Unatype huku unaogopa 😅
Akina Aucho gani mkuu, wale tuliowaona jana ??Kwa hizi timu kina aucho,Aziz k, musonda warudi dar kujipanga na ligi.... Hizi ni level ni kina ngushi