Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Yanga na azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga na azam
Ha ha ha ha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kibu D, dah kummke walai, mungu akiamua kukupa utapata tu, huyu kibu kwa akili ya mpira haniwezi, nikifanya matizi miezi mi3 mfululizo, nalala kwa wakati, napiga pumbu za kiaste aste [emoji1787] huyu kibu anaweza kufukuzwa.
Kibu nguvu kulukundu.. nguvu nyingi kuliko akili.
Wale walitobolewa na kibu au kuna wengine?Kwa hizi timu kina aucho,Aziz k, musonda warudi dar kujipanga na ligi.... Hizi ni level ni kina ngushi
Huyu kipa mpaka sasa hajafanya makosa mengi kama ya kipa wa Azam jana.Ni bora kumchezesha yule kipa aliyetoka KMC na uzoefu wa kutosha kuliko huyu dogo asiyejua lolote, yani huyu wakianza kumchungulia vizuri ni lazima wapate goal.
Kama Simba Sc ataingia fainali, basi atafungwa kwa ujinga wa huyo kipa.
Fuvu limetulia na incidence zipo nyingi za kubebwa, siyo moja tu unayoiwaza wewe. TUTULIZE FUVU WOTE.Tuliza kwanza fuvu alafu rudia tena ile incident utaiona offside
Hicho kijiwe kiko wapi unakopigaga story na dada zakoHuu uzi jata hauna zile 'la la laaa, njee' wala 'goo laa lalaaa'.
Yaani umekua uzi wa stori kama tupo kijiwe nongwa?
Uliamini ulipoambiwa na Ali Kamwe kuwa Chama ni utopolo?Kumbe chama ni simbaa nmeaminiii
Utakuwa na matatizo yako binafsi sio bureFuvu limetulia na incidence zipo nyingi za kubebwa, siyo moja tu unayoiwaza wewe. TUTULIZE FUVU WOTE.
KUBEBWA FC..
CC GENTAMYCINE, Kalpana et el
Hiyo ni mimba inayotokana na lile shuti la KibuMimi Ni Simba ila kwa mpira huu bora niishie kwa hawa Underdog kuliko kukutana na Kina Mzinze.
Soka la Simba ni kichefchef
Umeona mbali sana mkuuHii Singida Utopolo ingekuwa imeshakufa si chini ya 2
Ha ha ha ha
Wapigwe na Bichwa la simbaKuna mijitu inajaribu kusukuma hoja hapa Simba Ikishinda basi Refa kaibeba...!
Itashinda tu, hakuna namna nyie Utopolo Anzeni kutia maji bichwa tayari tayari kunyolewa
we mgonjwaHii Singida Utopolo ingekuwa imeshakufa si chini ya 2