Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli humweka mtu huru, na hii ndiyo kauli ya kiuanamichezoMimi Ni Simba ila kwa mpira huu bora niishie kwa hawa Underdog kuliko kukutana na Kina Mzinze.
Soka la Simba ni kichefchef
Siongei kwa kufurahisha mzee, naongea nikiwa najua hicho kitu, boli nimelisakata tena haswa, hata sasa mara moja moja napasha.Mpira hauko hivyo sheikh, ukiingia hata mechi ya ndondo utapoteana vibaya sana ndugu yangu... Dakika 5 maji utayaita mma
Wewe ukiwa kiungo nyuma ya ngushiMimi Ni Simba ila kwa mpira huu bora niishie kwa hawa Underdog kuliko kukutana na Kina Mzinze.
Soka la Simba ni kichefchef
Shindeni kwa haki na sio kwa dhuluma. Kitendo anachofanya refa kimezidi kiasi kwamba kila mtu anaona wazi wazi jambo ambalo linasababisha Singida wapaniki watoke mchezoniBasi kama ni hivyo mategemeo yangu hiyo itakuwa habari njema kwenu ili mlipe kisasi.
Lakini cha ajabu naona wengi wenu mnapenda tufungwe, je hiyo haimaanishi kwamba kuna kitu mnakikwepa?
chache n 3Mtafanya nn
Alisema bado ana majerahaHivi Phiri amemkosea nini huyu kocha?
Sijapata nafasi ya kuiangalia hii mechi, kwahiyo umesema Bocco kaingia mapema hivi?Simba wanafanya mabadiriko Boko na Ngoma wanaingia
Oh! Kumbe ni sehemu huwa mnapiga story na akina dada bana. Nashukuru kwa ku share mkuuHicho kijiwe kiko wapi unakopigaga story na dada zako
Ndio kaingia Joni BokoSijapata nafasi ya kuiangalia hii mechi, kwahiyo umesema Bocco kaingia mapema hivi?
Hahahahah huyu ndo atawaokoaBocco kaingia kuchukua nafasi ya Baleke