Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kaukweli hapaChama ana haki ya kuwa ringia ,mnacheza vizuri na mmetawala game ila nafasi hamtengenezi na ndio maana alivyo wajambisha mkawa wapole.
Sasa kuwa na Kocha wa nje mwenye uwezo mdogo kama huu, huoni kwamba ni bora kuwa na Mzawa tu?Bora Mgunda arudi sio ?
Yuko outdated sijui kwannalafu huyu mtangazaji akumbushwe sio singida big stars jina lilisha badirika
Tusingeshituka mapema ilikuwa imekula kwetu, yeye tungemfukuza kisha tukabaki na mzigo wake.Robertinho siyo kabisa katukositi mpaka usajiri wa kipa
Punguza jaziba [emoji16]Hii ndo timu iliyotoka uturuki, lobatinyo ana mzaha sana
Labda ngoj tuoneSingida anatoboa..simba ataangukia pua
Ndiyo kama hivyo...Kuna vitu vinasikitisha sana. Mpira hauendani na gharama za usajili
Mm simba anyooshwe tuNilitamani sn simba apite akutane na yanga lkn ndiyo hivyo tena[emoji850]