Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #401
ambacho hujui yanga tuko wengi hapa makolo wako wa 2 tu
Kweli kabisa,hawa jamaa wanacheza bila pressure kama wako TunisMpira ni uwekezaji
[mention]Scars [/mention] aliwahi sema hili
Walitangulia Nkana na tukashinda itakuwa hawa RajaKwa mkaaaapaaa hatoki mtuuuu
Tutaungana baadae hapa wakulia walie wa kucheka wacheke.dk 90 kwa wanao jua
Usimtafutie ubaya Aishi we kule nani anaenda πππManula etoka sana golini ameacha gap sana anaejua anakuumiza
hhahaha hii inawahusu leo.
Maoni ya kihisia hayo sometimes unayakaushia hata usiangaike kujibuPale hata wakiwa makipa wawili hawadaki ni mbali sana
Moja bila Raja anaongoza