FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
ambacho hujui yanga tuko wengi hapa makolo wako wa 2 tu
A4424EF5-A054-423B-BB9A-66A23346B55C.jpeg
 
Sio hawa wanaume wana bleach nywele na kuruka ruka tu

Kwanza kuwafunga Raja kuna hitaji akili , ila kwa huu mpira wa Yanga Na Simba ambao hauna skills zaid ya show game ni imekula kwenu
 
Back
Top Bottom