FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Kitambo since hatujaonja ladha ya kufungwa taifa .......dah ...kumbe kufungwa sio poa halafu nyumbani .......
Wengine mnawezaga vipi kuvumilia haya aisee.....🙌
 
Simba wanatamani mpira uishe hawa jamaa dk 80 wamekuwa wa moto.
 
Mpira ni sayansi sio porojo tuliwaambia hamna timu ya kupambana kwenye hii michuano
 
Robertino ameleta mfumo yako faa ..
Niliona mapema kwa timu yenye kushambulia kwa kushtukiza lazima ufungwe...
 
Back
Top Bottom