Rafiki kesho nasi siamini kama hawatatuchekaJamani naombeni mkae karibu na OKW BOBAN SUNZU. 🤣🤣🤣
Uko wapi nikupige bia za kutosha maana furaha ya leo basi tu.Hahahahaaa. Lol
Marehemu alikuwa na mdomo sana
Kufungwa ni kawaida watanzania, kufungwa ni kawaida nasisitiza.Niliwahi taja wachezaji 13 wasiofaa Simba
Niliwahi hoji sababu ya bonus wanazipewa wachezaji, yote haya nikaonekana hater
Mkuu ni 0-3!!
Niliwahi taja wachezaji 13 wasiofaa Simba
Niliwahi hoji sababu ya bonus wanazipewa wachezaji, yote haya nikaonekana hater
Acha aongeze 10mins tumechoka na maneno yao eti kwa mkapa hatoki mtu🤣Simba atapigwa km Ngoma leo aongeze 1 awaonee huruma hawa watu 😂
Alisikika akijifariji ns mbegeTunatakiwa kufungwa magoli 3 zaidi ili tufikie ubovu wa Uto