Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hiyo penati hata sijaiona nilikuwa katika harakati za kutoka uwanjani
Ila nilichojifunza mashabiki inabidi tubadilike sana
Wakati natoka nje hapa kwenye hizi ngazi uwanjani nimestuka na kelele za watu waliokuwa wanamkinbiza mtu wakimuita mwiz
Alikuwa ni dogo tu maskini watu wamemzinga wamepiga kipigo kikali watu wakijua ni mwizi
Lakini mwisho wa siku kumbe dogo alikuwa anashangilia penati ya Raja
Wamemuumiza sana dogo anavuja damu hata nguvu ya kusimama amekosa
Dear friends timu yako kama haichezi kwa Mkapa sio sehemu salama wewe kwenda ukifikiri utakuwa huru kushangilia wapinzani wako wakifungwa kama ukiwa mtaani au humu jukwaani
Ila nilichojifunza mashabiki inabidi tubadilike sana
Wakati natoka nje hapa kwenye hizi ngazi uwanjani nimestuka na kelele za watu waliokuwa wanamkinbiza mtu wakimuita mwiz
Alikuwa ni dogo tu maskini watu wamemzinga wamepiga kipigo kikali watu wakijua ni mwizi
Lakini mwisho wa siku kumbe dogo alikuwa anashangilia penati ya Raja
Wamemuumiza sana dogo anavuja damu hata nguvu ya kusimama amekosa
Dear friends timu yako kama haichezi kwa Mkapa sio sehemu salama wewe kwenda ukifikiri utakuwa huru kushangilia wapinzani wako wakifungwa kama ukiwa mtaani au humu jukwaani