Niliongea Simba itashika mkia kundi lao matusi kama yote! Waje Sasa wakanushe utabiri wangu!

Garbage in garbage out!!
 
KUFUNGWA NI KAWAIDA, KUFUNGWA NI SEHEMU YA MPIRA HAIJALISHI UMEFUNGWAJE.KUFUNGWA KUPO.
Ila, viongozi wa Simba wanastahili lawama.
Hivi, waliokuwa na sababu gani kumchukua kocha mpaya kwenye dirisha dogo? Wangesubiri kocha mpya aanze mwanzo wa msimu na timu. Siyo katikati na kuja na mfumo mpya kwa wachezaji ambao walishazoena kwa mfumo waliokuwa nao.
 
Kwa macho yangu nikiwa taifa nimewaona Kibu na Robatinyo wakicheka chooniπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Naandika kiarabu mkuu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu, nipo hapa kwa kiti najichekea chekea tu, wala hata sijui nafurahishwa na nini!!
Ila hiki kiarabu chako huenda kinahusika!!! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Simba niliwapa taarifa mapema mkanicheka kuwa wenye akili ni wawili tu upande wa pili Any way niliona mapema haya matokeo mimi
Unajua kwanini
Kwasababu simba hawajawahi kuwa na bahati na viongozi alivyo promiss rais wetu mpendwa Nikasema basi hawa wenzetu wamekufa hawanaga bahati kabisa
Sasa subirini kesho muone kazi ya wanaume
Ni moja bila tu ambalo mazembe watakufa
 
Yes makosa yaa kiufundi...
Yameamua matokeo
 
Tatu bila tatu bila🎼🎡🎼
Wamebana wameachiia tatu bila 🎼🎡🎼🎡 (in Sir Kiroboto voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…