wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Simba hii ni sawa mwanafunzi aliyepata 1.7 form 4, form six kila test yeye anazungusha tuHakuna kitu,Simba hakuna wachezaji pale wakupambana katika haya mashindano Wala ligi ,we unamchezaji kama kibu anajituma mazoezini apate namba wanjani analeta ushuzi tuh
Pira dubai.Haiwezekani timu inajukumu la kucheza, watu wanaanza toa ahadi za kuwalipa pesa
Wachezaji wanatakiwa waelewe kazi yao ni kucheza na kushinda mechi
Mambo ya bonus yawekwe kutokana na hatua fulani
Simba inatoa Bonus ya 800,000,000 kwa msimu
Hizi Bonus zatakiwa zigawanywe kwa mafanikioa na sio mechi
Kombe la FA 100mil
Ligi Kuu 200mil
Kuingia Makundi 100mil
Robo Fainal 200mil
Nusu 300Mil
Fainal 500mil
kwaiyo saivi maza ndo kawa raja🤣🤣Ngoma ngumu,Samia bora angekausha tu
Hii ndo itatuamsha tucheze mpira japo mashabiki ndo hawatakuja jaza tena maana tushatobolewaTatizo tunakuwaga na matarajio makubwa Kwa mkapa, badala yake imekuwa kinyume chake
Ndio maana yake huoni yale magoli ni uzembe wa manura.Sasa hap si timu yote ifumuliwe
watu mlikuwa na matokeo mapema na hamsemiKila lakheri Raja Casablanca piga hao makolo goli 3
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sasa manura pale kafungwa gori gani la kizembe,, au langap!??Ndio maana yake huoni yale magoli ni uzembe wa manura.
Hata hizo pesa za Dubai naona zimetupwa tu.Pira dubai.
La kwanza na pili alikuwa wapi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sasa manura pale kafungwa gori gani la kizembe,, au langap!??
Walisema eti Horoya waliwafunga kwa sababu Saifo Ntibazonkiza hakuwepo! Leo ameanzishwa, lakini wapi!! 😃Pira dubai.
Daah 😢😢😢Hiyo penati hata sijaiona nilikuwa katika harakati za kutoka uwanjani
Ila nilichojifunza mashabiki inabidi tubadilike sana
Wakati natoka nje hapa kwenye hizi ngazi uwanjani nimestuka na kelele za watu waliokuwa wanamkinbiza mtu wakimuita mwiz
Alikuwa ni dogo tu maskini watu wamemzinga wamepiga kipigo kikali watu wakijua ni mwizi
Lakini mwisho wa siku kumbe dogo alikuwa anashangilia penati ya Raja
Wamemuumiza sana dogo anavuja damu hata nguvu ya kusimama amekosa
Dear friends timu yako kama haichezi kwa Mkapa sio sehemu salama wewe kwenda ukifikiri utakuwa huru kushangilia wapinzani wako wakifungwa kama ukiwa mtaani au humu jukwaani
Kwa wachezaj ganiIlikuwa ni suala la muda tu.
Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.
Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.
Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.
Mipesa yote hiyo kuwapa wachezaji hawa ni uzezeta. Bora Mo azitumie kufufua mashamba yake ya katani na chaiHaiwezekani timu inajukumu la kucheza, watu wanaanza toa ahadi za kuwalipa pesa
Wachezaji wanatakiwa waelewe kazi yao ni kucheza na kushinda mechi
Mambo ya bonus yawekwe kutokana na hatua fulani
Simba inatoa Bonus ya 800,000,000 kwa msimu
Hizi Bonus zatakiwa zigawanywe kwa mafanikioa na sio mechi
Kombe la FA 100mil
Ligi Kuu 200mil
Kuingia Makundi 100mil
Robo Fainal 200mil
Nusu 300Mil
Fainal 500mil
Mbona izi timu tulizifunga au hizi za ulaya de Agosto, Nyasa big bullet ukweli ni Kwamba kwa timu zenye uwezo kubwa ndio udhaifu wa simba unaonekanaKuna mahali viongozi wa Simba hawapo serious, usajili wa hii misimu miwili unathibitisha hilo,pamoja na kwamba quality ya wachezaji wa raja na Simba ni mbingu na ardhi lakini kuwa na wachezaji kama bocco,mzamiru,sawadogo,gadiel,nyoni,kapama,kyombo huwezi kumfunga yoyote Africa hii.
Tatizo lilianzia hapaleo wameonekana wakitoka kambini na bus lao kinyume nyume