FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Haiwezekani timu inajukumu la kucheza, watu wanaanza toa ahadi za kuwalipa pesa

Wachezaji wanatakiwa waelewe kazi yao ni kucheza na kushinda mechi

Mambo ya bonus yawekwe kutokana na hatua fulani

Simba inatoa Bonus ya 800,000,000 kwa msimu

Hizi Bonus zatakiwa zigawanywe kwa mafanikioa na sio mechi

Kombe la FA 100mil

Ligi Kuu 200mil

Kuingia Makundi 100mil

Robo Fainal 200mil

Nusu 300Mil

Fainal 500mil
Pira dubai.
 
Tatizo tunakuwaga na matarajio makubwa Kwa mkapa, badala yake imekuwa kinyume chake
Hii ndo itatuamsha tucheze mpira japo mashabiki ndo hawatakuja jaza tena maana tushatobolewa

Twatakiwa tushinde mechi nje na ugenini ili tuwe timu bora
 
Mechi Inarudiwa Huku [emoji1787][emoji1787]
IMG_0824.jpg
 
Hiyo penati hata sijaiona nilikuwa katika harakati za kutoka uwanjani

Ila nilichojifunza mashabiki inabidi tubadilike sana

Wakati natoka nje hapa kwenye hizi ngazi uwanjani nimestuka na kelele za watu waliokuwa wanamkinbiza mtu wakimuita mwiz

Alikuwa ni dogo tu maskini watu wamemzinga wamepiga kipigo kikali watu wakijua ni mwizi

Lakini mwisho wa siku kumbe dogo alikuwa anashangilia penati ya Raja

Wamemuumiza sana dogo anavuja damu hata nguvu ya kusimama amekosa

Dear friends timu yako kama haichezi kwa Mkapa sio sehemu salama wewe kwenda ukifikiri utakuwa huru kushangilia wapinzani wako wakifungwa kama ukiwa mtaani au humu jukwaani
Daah 😢😢😢
 
Ilikuwa ni suala la muda tu.

Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.

Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.

Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.
Kwa wachezaj gani
 
Haiwezekani timu inajukumu la kucheza, watu wanaanza toa ahadi za kuwalipa pesa

Wachezaji wanatakiwa waelewe kazi yao ni kucheza na kushinda mechi

Mambo ya bonus yawekwe kutokana na hatua fulani

Simba inatoa Bonus ya 800,000,000 kwa msimu

Hizi Bonus zatakiwa zigawanywe kwa mafanikioa na sio mechi

Kombe la FA 100mil

Ligi Kuu 200mil

Kuingia Makundi 100mil

Robo Fainal 200mil

Nusu 300Mil

Fainal 500mil
Mipesa yote hiyo kuwapa wachezaji hawa ni uzezeta. Bora Mo azitumie kufufua mashamba yake ya katani na chai
 
Kuna mahali viongozi wa Simba hawapo serious, usajili wa hii misimu miwili unathibitisha hilo,pamoja na kwamba quality ya wachezaji wa raja na Simba ni mbingu na ardhi lakini kuwa na wachezaji kama bocco,mzamiru,sawadogo,gadiel,nyoni,kapama,kyombo huwezi kumfunga yoyote Africa hii.
Mbona izi timu tulizifunga au hizi za ulaya de Agosto, Nyasa big bullet ukweli ni Kwamba kwa timu zenye uwezo kubwa ndio udhaifu wa simba unaonekana
 
Back
Top Bottom