Hesabu za vidole hizi, huyo Vipers kumfunga kwake Sio rahisi
 
Sasa kama nyumbani tu unakubali kufungwa 3 bila! Ukienda kwao si unaenda kupigwa 🤚

Ndiyo hii timu ilikuwa inawakejeli Vipers, ambao wametoa sare na mbabe mwingine Horoya!!

Kwa hali hii sitashangaa wakishika mkia kwenye kundi lao.
Kushika mkia kawaida ata chura kashashiriki makund confederation zote kaambulia kushika mkia tu
 
Sasa hivi mashabiki wa Simba walivyo jikusanya maongezi yao utazani mamotivation speaker wa kilimo cha matikiti "heka moja mil 5,ukilima heka 20 hukosi mil 100 " watajua hawajui siku wa kingia shambani.

Eti Vipers wanampiga nje ndani,Horoya hatoki kwa mkapa ,Morocco wanaenda kutafuta droo ........ halafu serious kabisa ngojea wakiingia uwanjani ndipo watajua kuwa hawajui.
 
Wachezaji ni zero hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…