FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
No, kama Vipers alikufa kwake, Simba leo kafa kwake, mwenye faida hapa labda ni Horoya kama atawakazia waarabu nyumbani kwake apate hata suluhu..

Lakini ikitokea Horoya akapoteza pointi kwa Vipers, then Simba ashinde zote mbili za Vipers, bado nafasi ipo, sema hawa jamaa ndio wataongoza kundi kwa pointi nyingi sana.
Simba hii haitashinda wala kutoka sare na timu yoyote. Haitaweza kuifunga raja kwao, horoya kwa mkapa, wala vipers home na away.
 
Wewe ndiyo Adui #1 Simba SC na huna Msaada na Timu yetu bali unaitumia Simba SC Kujitajirisha. Tumekuchoka tuachie Timu yetu.

Nimemaliza.
 
Naona umeamua kujaza server ya JF peke yako[emoji1787][emoji1787]unataka timu Mo aiache ili upewe wewe🫣🫣

Halafu wewe mtoto wa mama laini sana, Simba Sc ikiwa inacheza huwa unajificha huweki comment hata moja[emoji15][emoji15], unashindwa hadi na watoto wa kike wanajiamini zaidi yako[emoji1306][emoji1306], unasubiri mechi iishe ndio uanze kujaza server ya watu machozi, wacha uboya.
 
Usikate tamaa mpira una maajabu yake.
Mnyama anaweza kupata pointi 6 kwa Mkapa, 3 Uganda na 1 kwa Waarabu hawahawa.
Mechi ya marudiano na Raja, Simba atapigwa kama ngoma. Jana Raja walitaka hata draw tu, watakavyoenda kuwakimbiza, akina Onyango wanaweza goma kurudi uwanjani kupindi cha pili.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Simba hii haitashinda wala kutoka sare na timu yoyote. Haitaweza kuifunga raja kwao, horoya kwa mkapa, wala vipers home na away.
Kwa kukosekana Kanute ilitakiwa kuanza na mabeki 3 nyuma na si 2,Sawadogo mzito mno hivyo unahitaji watu wanaokimbia muda wote,angembadili namba kapombe nakumchezesha na mzamiru halafu yule dogo angecheza namba 2,hakukua na mikimbio kabisa katikati.
Ninauhakika mgunda asingefanya haya ya jana
 
Nafas ya ngapi mkuu, labda ya 3. Maana nafasi pekee iliyopo ni kufikisha point 6 timu hii mbovu ikijitahidi akaifunga Horoya na Vipers.

Horoya ana point 4 anahitaji point 3 pekee toka kwa Vipers nyumbani afikishe 7.

Safari hii mkiani mwa kundi panaifaa hii timu inayoongozwa kisanii. Vipers lazima ashinde game yake nyumbani dhidi ya Simba.
Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu eti wanasemaga Mtani.

#Mkiani. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom