Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Asante sana SteveMollel kama unavyonikosha kwenye simulizi zako 🤝Unanikosha sana wewe mdada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana SteveMollel kama unavyonikosha kwenye simulizi zako 🤝Unanikosha sana wewe mdada.
Kesho zamu yenu. Bana congo utalileleka mupira kunyavu mara ineAsante sana SteveMollel kama unavyonikosha kwenye simulizi zako 🤝
Wydad CasablancaBINGWA MTETEZI WA HILI KOMBE NI NANI? NITASHUKURU SANA, KAMA NIKIJIBIWA
Simba hii haitashinda wala kutoka sare na timu yoyote. Haitaweza kuifunga raja kwao, horoya kwa mkapa, wala vipers home na away.No, kama Vipers alikufa kwake, Simba leo kafa kwake, mwenye faida hapa labda ni Horoya kama atawakazia waarabu nyumbani kwake apate hata suluhu..
Lakini ikitokea Horoya akapoteza pointi kwa Vipers, then Simba ashinde zote mbili za Vipers, bado nafasi ipo, sema hawa jamaa ndio wataongoza kundi kwa pointi nyingi sana.
Kwamba alikuwa anagombea nini?Mwamedi anamleta Manzoki kwenye kampeni.
Mechi ya marudiano na Raja, Simba atapigwa kama ngoma. Jana Raja walitaka hata draw tu, watakavyoenda kuwakimbiza, akina Onyango wanaweza goma kurudi uwanjani kupindi cha pili.Usikate tamaa mpira una maajabu yake.
Mnyama anaweza kupata pointi 6 kwa Mkapa, 3 Uganda na 1 kwa Waarabu hawahawa.
Kwa kukosekana Kanute ilitakiwa kuanza na mabeki 3 nyuma na si 2,Sawadogo mzito mno hivyo unahitaji watu wanaokimbia muda wote,angembadili namba kapombe nakumchezesha na mzamiru halafu yule dogo angecheza namba 2,hakukua na mikimbio kabisa katikati.Simba hii haitashinda wala kutoka sare na timu yoyote. Haitaweza kuifunga raja kwao, horoya kwa mkapa, wala vipers home na away.
Hahahaaa!! Usijali Mtani.Nadhan niliacha cursor eneo la kuandika. Nashuhudia kichapo kwa uongozi wa kisanii
Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu eti wanasemaga Mtani.Nafas ya ngapi mkuu, labda ya 3. Maana nafasi pekee iliyopo ni kufikisha point 6 timu hii mbovu ikijitahidi akaifunga Horoya na Vipers.
Horoya ana point 4 anahitaji point 3 pekee toka kwa Vipers nyumbani afikishe 7.
Safari hii mkiani mwa kundi panaifaa hii timu inayoongozwa kisanii. Vipers lazima ashinde game yake nyumbani dhidi ya Simba.
Hahahahaa. Lol.Tatu mzuka
mbn makasiriko mengi ivo wakuu mambo ya kawaida tu ayaUnataka kujiua mkuu!?
mkuu unasema?Wamemaliza pakiti na wametumia yote