Yakweli haya au Uto mnaongeza chumvi tu?Mkuu basi limetoka mbweni mpaka temeke kwa rivers [emoji706][emoji706]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yakweli haya au Uto mnaongeza chumvi tu?Mkuu basi limetoka mbweni mpaka temeke kwa rivers [emoji706][emoji706]
Kumbe ndio kachapiwa ila kigogo Alisha muonja sanaMambo ya DNA babaa. Kama DNA nakataa wewe siyo babake ya nini kuacha mapicha ya haramu banaa. Futa futa yote kabisa
wydad casablancaBINGWA MTETEZI WA HILI KOMBE NI NANI? NITASHUKURU SANA, KAMA NIKIJIBIWA
Wengine waliomfunga Singida tutawashuhudia keshoSasa wachezaji wa Raja Casablanca ndiyo wa kuwafananisha na akina Wawa, Kagere! Kweli?
Usikate tamaa mpira una maajabu yake.Msimu huu ndio ushaisha sioni tukisonga mbele
Ngoja tusubiriHapa linahitajika goli moja tu la kufungua njia, then muarabu aki panic zitafuata nyingine mbili...
Nyie kolowizard ni vigeu geu. Robertinho alivyomtoa kwenye mechi ile sijui na kosto unioni kwa kuwa ni mchovu, mlimponda sana kwamba kocha hajui kitu na chama ndiyo mesi wa kolo. Yaani Ukimgusa tu chama timu inayumba. Leo kuna mtu kamuona chama leo akicheza?Hapo kwa Chama ungebold.
Ameenda matengenezo ya akili?[emoji23][emoji23]Kwa sasa tuna MINOCYCLINE! [emoji56] Genta yupo Lutindi.
si tulikubaliana bareke ni zaidi ya mayele?Ukweli ni huu usajili Kwanza ssi mashabiki tulikua na mashaka timu ikishinda tunaona hiz sajili saf ikifungwa tatizo usajili Yan
50-50 inapokuja heavyweight team ndio hizi sajili janja janja zina tuumbua na leo tumeumbuka
Kengele kwa viongozi akihitajika mchezaji uyu wa viwango anakuja tofauti leo ni heavyweight msuli tumekutana nao na hii ni fundisho msimu ujao litapokuja swala la usajili
Sio mayele musonda au wew unaona nan zaidi Kati ya balek na musondasi tulikubaliana bareke ni zaidi ya mayele?
Uzuri muda aumsubiri mtuOoh kwa Mkapa hatoki mtu, spell ya basi kurudi kinyumenyume still wametandikwa vitatu kamili.
Je bila hiyo spell ilikuwa wabamizwe vingapi?
Mdomo ulumpomza Marehemu paka.
Hii timu imewekeza kwenye ushirikina
Gari kuja kinyume nyume 🤣🤣🤣Hii timu imewekeza kwenye ushirikina