FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Ukweli ni huu usajili Kwanza ssi mashabiki tulikua na mashaka timu ikishinda tunaona hiz sajili saf ikifungwa tatizo usajili Yan
50-50 inapokuja heavyweight team ndio hizi sajili janja janja zina tuumbua na leo tumeumbuka
Kengele kwa viongozi akihitajika mchezaji uyu wa viwango anakuja tofauti leo ni heavyweight msuli tumekutana nao na hii ni fundisho msimu ujao litapokuja swala la usajili
 
Hapo kwa Chama ungebold.
Nyie kolowizard ni vigeu geu. Robertinho alivyomtoa kwenye mechi ile sijui na kosto unioni kwa kuwa ni mchovu, mlimponda sana kwamba kocha hajui kitu na chama ndiyo mesi wa kolo. Yaani Ukimgusa tu chama timu inayumba. Leo kuna mtu kamuona chama leo akicheza?
 
1B419D3B-8319-4F9E-831E-17CF22010611.jpeg

Imelala yooh!!
 
Ukweli ni huu usajili Kwanza ssi mashabiki tulikua na mashaka timu ikishinda tunaona hiz sajili saf ikifungwa tatizo usajili Yan
50-50 inapokuja heavyweight team ndio hizi sajili janja janja zina tuumbua na leo tumeumbuka
Kengele kwa viongozi akihitajika mchezaji uyu wa viwango anakuja tofauti leo ni heavyweight msuli tumekutana nao na hii ni fundisho msimu ujao litapokuja swala la usajili
si tulikubaliana bareke ni zaidi ya mayele?
 
Back
Top Bottom