FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
raja ndio watakuwa mabingwa wa hili kombe.....kila mashindano ambayo simba anashiriki whether club bingwa au shirikisho,mara nyingi bingwa hutokea kwenye group ambalo simba amepangiwa
 
Utopolo Msikimbie tu....!

Sisi hizi Shuruba tunaziweza tunaziweza..!

Washaanza Kulainika..
 
Utopolo mkumbuke Simba tupo ligi ya mabingwa, nyie mpo kule kwa losers, mnaonekana mmeridhika sana na kufeli kwenu[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom