FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Hii ndio Simba ambayo hata ukipoteza mechi huwezi kunikuta nalaumu
 
Alafu hii team ya raja Casablanca inakuzwa kwa sababu imeshinda 5 previously match ila hawana jipya sana hata namungo aliwakaxia sana na walibabaika.
Naona mmewakazia mruhusu awapige kimoya kwanza..
Pole mtani.
 
Simba Don't let these mathfckers stay longer with ball
 
Mechi kubwa huwa nafasi hazijii mara 2
 
Back
Top Bottom