Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Lol.Wafariji wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Lol.Wafariji wenzako
Believe.Tatizo ni muda
Tayari watani zangu washalowa huko..
Jitahidi I jamani ni mambo ya aibu haya kupigwa nyumbani
Alijua anacheza na ndeziKocha wa Raja kazingua kumbe muda wote Fundi Walid Sabar alikuwa benci ndio anaingia sasa !
Subiri kidogo dakika 90. Zikiisha mambo iko hivi ruksa. Lipuka mtani kwa raha zako.Naomba nikucheke Mtani. 🤣🤣🤣
Kesho tuwapa watanzania furahasafi kaka
Kesho tutawafundisha Thimbs Namna bora ya Kutumia Uwanja wa Nyumbani…
Mazembe lazima Alale 3!
Imeaidha hiyooo
kila Kitu Kimekamilika
Ni Kutetema tuu Kesho bila Kudahau Azizi [emoji360] [emoji12][emoji1787][emoji1787]
Acha mikwara uto[emoji1787][emoji1787]Kocha wa Raja kazingua kumbe muda wote Fundi Walid Sabar alikuwa benchi ndio anaingia sasa!
Unasema fundi alikuwa nje daaah😅Kocha wa Raja kazingua kumbe muda wote Fundi Walid Sabar alikuwa benchi ndio anaingia sasa!
Wifi yako Simba hapa kanuna balaa sijui kama ntapewa Leo🤣Hahahaaa. Lol.
Wana thiiiiiimbaa guvu mojaaaa
🫣🫣🫣🫣🫣Kesho tuwapa watanzania furaha
USSR