FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Safari bado inaendelea....!Kimoja tu Cha Kukikumbuka ni Hii ni CL na sio Confederation...!
 
Ile game ya Horoya tungepata hata draw sema Bocco ndio akazingua, hapa kwa hali ilivyo, Simba lazima akachukue pointi kwa Vipers afidie alizopoteza leo, Vipers akija bongo afe, na Horoya akija nae afe.
Simba Haina uwezo wa kuifunga vipers kwao na wajitazame hapa Kwa Mkapa.
Mkiendelea kufanya mambo Kwa mazoea mnaweza mkamaliza na alama Moja tu.
 
Hivi Kuna anayejuwa kosa la yule kocha mspanish wa Madrid de Rosa kufukuzwa?

Hii ndy karma sasa,,

Kocha kaipeleka timu robo fainali,,tumetolewa kwa matuta kuingia nusu fainali anafukuzwa vipi?

Leo nataka tufungwe hata 0--5.

Ili tuache kuishi kwa mihemko.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Acheni haya mawazo mgando, Vipers alikula tano, nae alimkosea mtu gani?

This is football, acheni hisia zenu za kibongo bongo..
 
Ila hata kuchelewa kwa jezi nayo inaweza kuwa sababu ya kugongwa kwa mtani....... au sio mtaani na sikia zipo Ethiopia zkwa dobi zinapigwa pasi.
 
Hali ni tete mnoo.
Huyu kocha mbrazili hatufai pale Msimbazi.

Yaani hadi kwa Mkapa tunapigwa kama Paka. Hii sio Simba ninayoijua mimi.
 
Niliwaambia mashabiki wenzangu wa Simba sioni sababu ya kuletwa huyu kocha mpya katikati ya msimu wakati Mgunda anafanya vizuri na alishapata combination nzuri ya Boko Chama na Ntibanzonkiza. Walibinishukia kama mwewe. Leo hii toka huyu kocha aje Simba imekuwa ikishinda kwa tabu huku ikicheza mpira mbovu na Boko hafungi tena.
Nafikiri tulikua/tupo pamoja.....
 
Ila Marehemu alikuwa na mdomo sana jamani. 😅😅😅
d30b4ea8ef2842e8b622f4a5cbf30b6f.jpg
 
Mgunda wakusumbuliwa na Mbeya City ndio awafunge Raja?

Mnaota nyie.
 
Hawa jama design kama walikuwa wana subiri dik 80 ifike manake dk 10 hizi za mwisho wameuwasha moto mkapigwa mbili, je huko kwao wakiuwasha mwanzo mwisho si mnakula mkono.
 
Hawa jama design kama walikuwa wana subiri dik 80 ifike manake dk 10 hizi za mwisho wameuwasha moto mkapigwa mbili, je huko kwao wakiuwasha mwanzo mwisho si mnakula mkono.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom