FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Mimi mlinzi mwaka mzima hio sifikishi.
I can't imagine people can earn that kind of wages and surpringly they manage life and things move on. Thanks god for bringing my ass here. Despite the hardship of current global economic life is still good all the basics needs you can easily get and still save.
 
Wana Yanga tulieni sasa Mpira umeisha. Tugange yajayo!
 
Ila, viongozi wa Simba wanastahili lawama.
Hivi, waliokuwa na sababu gani kumchukua kocha mpaya kwenye dirisha dogo? Wangesubiri kocha mpya aanze mwanzo wa msimu na timu. Siyo katikati na kuja na mfumo mpya kwa wachezaji ambao walishazoena kwa mfumo waliokuwa nao.
Iwe iwavyo watanzania hatutakagi kufungwa.
 
Hata vidole havifanani unaweza kupata mshahara wa million 50 Kwa mwaka kma hauna maarifa ya kujiongeza na namna ya Kuishi ukaishi maisha ya ovyo sana muhimu tupambane tu
 
20230218_211334.jpg

Mechi za Simba za kufa na kupona hizi ili aweze kufuzu.

Anatakiwa ashinde zote je ataweza?
 
I can't imagine people can earn that kind of wages and surpringly they manage life and things move on. Thanks god for bringing my ass here. Despite the hardship of current global economic life is still good all the basics needs you can easily get and still save.
You are among the lucky few.
 
Back
Top Bottom