n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Huko casablanca atakwenda kunywa tatu tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumegoma kutulia mkuu!Wana Yanga tulieni sasa Mpira umeisha. Tugange yajayo!
Kunywa soda Kwa mango mkuu,bill juu yanguSehemu pekee iliyokua inawapa kiburi makolo ni michuano,binafsi nilijua msimu huu ndio mwisho wa kelele na propaganda zao zote,nilifurahi makolo wapoqualify group stage maana nilijua ndio mwisho wa kelele zao zote,yan hapa bado kabisa,makolo mtaombea corona irudi 😂
Usiwe na matumaini na Simba kwa huyu kocha tuliyenaye sasa.View attachment 2522038
Mechi za Simba za kufa na kupona hizi ili aweze kufuzu.
Anatakiwa ashinde zote je ataweza?
Maan yake ni kua Simba kabakwa, kapigwa, kachakazwa, kagalagazwa, kavurugwa,kafirimbwa, kazagamuliwa, kaburuzwa, kanyonyolewa, kapondwapondwa, kaliwa😂😂 hizo ni maana chache tuHaya matokeo maana yake nini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani nimecheka sana leo.
Hapo mtu kapigwa tatu sifuri nyumbani,kule casablanca ni mwendo wa mkono. Halafu huyu vipers naye atawapasua. Huu mwaka mtaita mkojo mmaa.Hawa akina Phiri Ilitakiwa Waanze
🤣🤣🤣🤣🤣Maan yake ni kua Simba kabakwa, kapigwa, kachakazwa, kagalagazwa, kavurugwa,kafirimbwa, kazagamuliwa, kaburuzwa, kanyonyolewa, kapondwapondwa, kaliwa😂😂 hizo ni maana chache tu