joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kipa hana kosa ule mpira beki ndio alitakiwa aclear,hivi umeziona through pass mbili za hatari kwenye boksi lenu kama dk 10 zilizopita. .Goli Lao la pili ni kama tumewapa zawadi. Kipa na mabeki wote walipoteza concentration
Hana akili achana naeMatusi yanini sasa?
Ha haaa haa 🤣🤣Mimi mwenzenu roho yangu kwatuuuu hata tukifungwa...moto wameuona...
I miss you too 😍My dear I miss you. Hapa natafuta pa kuificha sura yangu 😅😅😅😅😅😅
Al Ahyl ni kibonde siyo kibonde?Hii league ya kiume Kudadeki hapo al ahaly akitoka akaingia Yanga basi anawezapigwa Kama mbwa [emoji23]
KibondeAl Ahyl ni kibonde siyo kibonde?
Al ahaly ni Yule Yule sema kakutana na fundi WA mpira Simba ...ndio maana unaona hajui pa kutokeaAl Ahyl ni kibonde siyo kibonde?
Showoff zinamponza sana, akiwa na mpira ni lazima asubirie mtu aje kumkaba kwanza.Onana bado yupp nje kimawazo