Kikubwa hatujafungwa...full stop kuhusu mlima au bonde kitajulikana mbele ya safari
Kama unaona wivu mimi nikishangilia jinyonge...
Kbs kbs ndugu watuache tuuu. Ikifika mda wa hyo marudiano ndo waanze na hyo milima yao sijui mabonde
 
Bado hujasemaaaaaa... 🤣
Yani hapo chini ndo umeharibu kabisa...
 
Kwanza chomoa huo mwiko huko nyuma
 
Yaani ujinga wowote unaokujia kichwani unapost tu.

Na hii Ni baada ya kwenda na matokeo uwanjani ulidhani Simba inaenda kufungwa.

Umebadili via angani.
 
Acha kubweka kalpna Sana furahia tu kupewa hadhi ya kufungua michuano otherwise Simba kwa hatu hz hanag nafsi na hawezi kuwa nayo kamwe[emoji23]
 
Um
emewahi kucheza mpira?
 
Kwetu sisi Simba ni matokeo makubwa mnoo kwa timu kama Hii yenye profile kubwa sana tena mbele ya wageni wazito..
Hakika Simba mmetuheshimisha
Mmeheshimisha uwanja wetu mpya
Na Tanzania nzima...
See u next tym...
Am out
 
Uharo huu
 
Hebu chomoa kwanza ule mwiko wa ihefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…