Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Leo kwa mara ya kwanza unataka mamumiani waarabu wenzako wafungwe. Nasi tunawaombea waisrael waendelee kuwawashia moto wapalestina😆😄😃😃Hongera sana Simba, mnaweza kabisa kuwashinda kwao.
Si ndio masuper star na role model wenu huko Daslama.Huyu mtu hajawahi kuwa na akili
Unahamu ya kuharibu huu mjadala. Peleka utumbo wako kwenye jukwaa husika.Leo kwa mara ya kwanza unataka mamumiani waarabu wenzako wafungwe. Nasi tunawaombea waisrael waendelee kuwawashia moto wapalestina😆😄😃😃
Hahaaaaa, haya sister.Unahamu ya kuharibu huu mjadala. Peleka utumbo wako kwenye jukwaa husika.
PoleeGoli walilosawazisha al ahly limeniuma hatari
Simba wamejitahidi bana.Usifikiri walikua wanacheza na Ihefu.Kwa tunaojua football, tumpe simba mkono WA Kwa Heli ,Asante kwa kushiriki mpaka watakapo ajiri bench la ufundi linalojua nin maana ya "knock out stage"
Atabaki na kumbukumbu ya Simba vs Al ahly in Tanzania.Arsene Wenger atabaki na kumbukumbu nzuri ya Tanzania sio Simba.
Wenger ameshawahi fungwa goli nane. Sidhani kama kungekuwa na maajabu kwa hawa viongozi wakubwa.Unadhani ubao ungesoma 5-0 kwa Ahly future yetu ktk soka kama Nchi ingekuwaje?
Kabisa. Nakubaliana na wewe.Tunataka kuwaona akina Samatta wengine EPL kama wenzetu Nigeria, Ghana, Burkina Faso n.k ambao tayari wanaaminika huko.
Binafsi huwa naona kwenye club ni sawa tu kama mtu kapenda kushangilia timu isiyo ya nchi yake.Ona tumepata heshima ya mechi ya ufunguzi, bado AFCON 2027. Ni ujinga kuwashangilia Waarabu dhidi ya bendera ya Nchi yetu.
Kama kawaida yenu, mumekufa kiume, sio?Simba wamejitahidi bana.Usifikiri walikua wanacheza na Ihefu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]ndo maana mnaishia robo fainali na hizi kauli zenu etiih hatuwadaihuyu demu ake nani anipandisha midadi mwambieni bhana ASANTE!?
Huwa nakuchora tuAfadhali umerudi. Teh teh.
Yule nae si mpumbavu kama wapumbavu wengine tu ana nini yuleMkatoe sadaka kwa mashimo
Labda ndo maan mmefungwaYule nae si mpumbavu kama wapumbavu wengine tu ana nini yule
Kwenye kombe la loser uliwahi kushinda ugenini?Lini yanga ameshinda ugenini kwa Al Ahly? Tafadhali usilinganishe ng'ombe na nyati eti kwa sababu wote ni wanyama!! Huwezi kul;inganishga Al Ahly na yule mliyecheza naye kombe la losers!!
Ohoo, umekosa game tamu sanaSijacheki game ila naskia mmeupiga mwingi, hongereni watani, japo mna kelele sana ila acha utaifa kwanza, how are you Simba fan?
Safi, tutakua na uwanja bora sana, tatizo utunzaji.Hayo yalikuwa ni maboresho ya fast kuruhusu hii game ipite. Utafungwa then maboresho makubwa yatafanyika na kuisha July 2024.