Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Tulishajiwekea mentality ya "Kwa mkapa" tu.Tukiwaga Ugenini Sijui nini Huwa Kinatukutaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishajiwekea mentality ya "Kwa mkapa" tu.Tukiwaga Ugenini Sijui nini Huwa Kinatukutaaaa
Hata Ihefu inawavingirishaga vyema Uto...Binafsi hata mimi siamini kabisa, Al Ahly kaishazoea kufungwa na Simba kwa Mkapa ila sijui imekuwaje leo imeshindikana. Dah kweli mpira una dunda
Igeni ya yangaTulishajiwekea mentality ya "Kwa mkapa" tu.
We utakuwa mpira umesimuliwaPamoja na possession kui favour Simba,wamepata sare Kwa bahati tuu.
Simba imezidiwa mbinu,kiungo hakuna,wakipoteza Mpira hawarudi kukaba wanawaachia mabeki na mwisho mbinu za kupangua ukuta hawana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba anatoa sare na bingwa wa afrika wakti Utopolo anafungwa na ihefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Hapana mkuu uzalendo kwanzaYaani ujinga wowote unaokujia kichwani unapost tu.
Na hii Ni baada ya kwenda na matokeo uwanjani ulidhani Simba inaenda kufungwa.
Umebadili via angani.
Simba Sc ilishatoka huko.kinachowauma Utopwox ni kwa nini hatujafungwa 7??
Simba wamejitahidiUharo huu
Sawa wewe umeangaliaWe utakuwa mpira umesimuliwa
Halina ubishi hilo Swahiba. Saa hii hawana namna zaidi ya kujifurahisha tu. 🤣🤣🤣makolo pale ndio wamemaliza kila kitu na waganga wao,wanaenda kufungwa cairo
Subiri zamu yako.Simba wanashangilia sare ya mimba 2 ya mgeni sebuleni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli makolo ni makolo!
Mmejitahidi Mzee ....japo kwaherinWiki hii imedhihirisha ukweli kuwa Yanga ina hazina kubwa sana ya majuha. Threads zenu mlizokuwa mnashindana kuzipandisha kama wenda wazimu zimewavua nguo. View attachment 2787528View attachment 2787529
Khaa leo ulikuwa unakaribia kucheza mdumange.U hali gani kwa sasa?MAKOLO WANAKANDWAAAAAA
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll
Goooooooooooooooooooooooooooooooooollll