FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Ngoja MK(Kenya) Limited AKA 254 aje hapa na counter Intelligence yake.

Hii ni final push.
 
Niliyasikilza yale maelezo kidogo tu kwa sababu I am tired of these conspiracy theories.( Having read so many of them).
Lakini ndio alivyosema,na sijaona yale maneno yamekanushwa even though the video went viral.
Nitaulizwa sasa what am I talking about.
Ni kwamba Waisraeli walitaka kushambuliwa,wakafadhili mashambulizi ya Hamas,zile parachute landings and everything,ili wapate kisingizio Cha kuishambulia. The idea was to make the Arab nations to nibble on the bait.
Kwa hiyo Hamas ni puppet wa Israel sivyo?
 
Back
Top Bottom