georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Badala yake wamekufa wao:2-0Si mlisema watakufa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala yake wamekufa wao:2-0Si mlisema watakufa taifa
Professional prayers hua hawakosei?Professional footballer hatakiwi kufanya kile alichofanya
Wewe akili yako inamtegeSasa Jana akicheza nini au kisa ni mchaga
Kosa la kujitakia kabisa , rafu ya makusudi kabisa iliyogharimu timu yake .Professional prayers hua hawakosei?
[emoji23][emoji23]Jana kocha alizingua Tu yeye mwenyewe angemuingiza mama aupige mwingi
Nestoroy Irankunda hawezi kabisa kuichezea taifa stars, kwani yule tayari ana uraia wa Australia na ameshachezea timu za vijana za Australia na tayari Australia wananchukulia kama Messi wao.Hivi yule Irankunda na kuichezea tanzania imefikia wapi kwa mwenye kujua tafadhali
Ligi ya Egypt sio sawa na ya bongo alikadhalika pia Ligi ya Egypt sio sawa na ya Uturuki kiviwango na ubora!!Ligi ya Egypt ni sawa ni ligi ya bongo?
Wewe nawe umeshakuwa wa ovyo, nimelalamika wapi? Nimetoa ushauri. Nilipoona uzi wako kuhusu Baca nikagundua kuwa upo humu JF kwa bahati mbaya ulipaswa kuwa Facebook huko.Dunia nzima sio yanga tu team zote zina mechi weekend na wachezaji wako kimataifa acha kulalamika kipumbavu
Kwa hiyo waarabu tu ndiyo wenye discipline?
Mwanzo nilikuwa simuelewi kabisa ila kuna tuvituvitu amefanya kipindi cha pili hadi amenibadili mtazamo wangu