FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Dah tuta pumzika sasa kuskia ngonjera.
 
Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco

KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.

Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
Unachezea hela za watu za kodi wakati mahospitali hayana dawa. Asante Mungu wetu wa kweli!
 
Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco

KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.

Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
Mpeleke ni saa100 salam.
 
Serikali ijifunze kutenganisha siasa na michezo... Wanaingiza siasa kwenye mpira na TFF na wanaharakati wanakubali. Sasa ni nini tena kitatuunganisha?
 
Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.

Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.

Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.

Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
Inachosha sana ila anae ratibu hili suala anatukosea mno
 
Kwakweli hapa panahoja. Nani muamuzi kulingana na mazingira yetu? Why saa 4 usiku
ILa nineona watu wamejitokeza, lakini hii ratiba sjui nani kapanga mechi kuanza saa 4 yani game iishe saa 6 tupo nyumbani huu ni ujinga
 
Nitoe mimi.
Nampongeza Kocha kwa mbinu aliyotumia,
ameingia na kikosi ambacho Morocco hawakijui.
Ndio maana tukafungwa Goli chache.
Hii sio kweli kimsingi hii mechi hatukupaswa kabisa kufungwa kama golini angekaa Metacha au Manula ,beki 2 angekaa Job ,mbele wawepo Kibu Samata na Msuva hii mechi tulipaswa ku draw ama kushinda kabisa
Comoro kampiga Ghana bila shida yoyote si tuko tunaamini majina
Rwanda anaongoza kundi lenye Nigeria na South Afrika huko akiwa na point 4 si tunaamini majina
Very low !!!hatutakaa tutoke hapa
 
Unachezea hela za watu za kodi wakati mahospitali hayana dawa. Asante Mungu wetu wa kweli!
Acha uchawi wewe, unafurahia timu yako ya taifa kufungwa ?....huo ni uasi na usaliti.

Motisha ni kawaida sana kwenye michezo.

Hongera sana Stars mmethubutu na mmejaribu.

Viva Tanzania Viva stars...
.👊👊👊👊
 
Acha uchawi wewe, unafurahia timu yako ya taifa kufungwa ?....huo ni uasi na usaliti.

Motisha ni kawaida sana kwenye michezo.

Hongera sana Stars mmethubutu na mmejaribu.

Viva Tanzania Viva stars...
.👊👊👊👊
Thank God yamefungwa! Asante bwana Yesu!

Watu wanakufa wakijigunfua kisa 150,000 unagawa 300,000 for stupid things! wacha watu walipe watazame upuuzi wao, siyo hela za serikali
 
Thank God yamefungwa! Asante bwana Yesu!

Watu wanakufa wakijigunfua kisa 150,000 unagawa 300,000 for stupid things! wacha watu walipe watazame upuuzi wao, siyo hela za serikali
Hata sekta ya michezo ni muhimu na ina bajeti yake.
 
Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco

KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.

Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
Nilijua lazima tupigwe kwasababu ya kuingiza siasa mchezoni.
 
Back
Top Bottom