Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kafanyaje? matokeo yalikuwaje?Mkuu una haraka ya kupost
Unachezea hela za watu za kodi wakati mahospitali hayana dawa. Asante Mungu wetu wa kweli!Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco
KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.
Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.
Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
Jezi za Bandari DP World Zaleta Mtafaruku Benjamin Mkapa Stadium
View: https://m.youtube.com/watch?v=sRWAG9FuBYc
Mpeleke ni saa100 salam.Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco
KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.
Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.
Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.
Comoro wamempiga vizuri tu Ghana Rwanda wamempiga sana South Afrika hiyo heshima ya Kumpa Morocco ya Nini pale kocha kachemka na kipa wake mwenye makeke mengiHawa ni moroko ujue
Inachosha sana ila anae ratibu hili suala anatukosea mnoKwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.
Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.
Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.
Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
ILa nineona watu wamejitokeza, lakini hii ratiba sjui nani kapanga mechi kuanza saa 4 yani game iishe saa 6 tupo nyumbani huu ni ujingaKwakweli hapa panahoja. Nani muamuzi kulingana na mazingira yetu? Why saa 4 usiku
Hii sio kweli kimsingi hii mechi hatukupaswa kabisa kufungwa kama golini angekaa Metacha au Manula ,beki 2 angekaa Job ,mbele wawepo Kibu Samata na Msuva hii mechi tulipaswa ku draw ama kushinda kabisaNitoe mimi.
Nampongeza Kocha kwa mbinu aliyotumia,
ameingia na kikosi ambacho Morocco hawakijui.
Ndio maana tukafungwa Goli chache.
Weka beki yako pazia ikamkabe Ziyech halafu uone Nini kingetokea.Wale waliokuwa wanatamba na beki yao ya Utopolo waendelee kutamba sasa. Hovyo kabisa. Huu umekuwa ukuta wa matope sasa.
Na tusitoke kabisa, tena ikiwezekana tudidimie zaidi kama ccm itaendelea kutumia timu ya taifa kama sehemu ya kutafutia umaarufu.Very low !!!hatutakaa tutoke hapa
Acha uchawi wewe, unafurahia timu yako ya taifa kufungwa ?....huo ni uasi na usaliti.Unachezea hela za watu za kodi wakati mahospitali hayana dawa. Asante Mungu wetu wa kweli!
Thank God yamefungwa! Asante bwana Yesu!Acha uchawi wewe, unafurahia timu yako ya taifa kufungwa ?....huo ni uasi na usaliti.
Motisha ni kawaida sana kwenye michezo.
Hongera sana Stars mmethubutu na mmejaribu.
Viva Tanzania Viva stars...
.👊👊👊👊
Hata sekta ya michezo ni muhimu na ina bajeti yake.Thank God yamefungwa! Asante bwana Yesu!
Watu wanakufa wakijigunfua kisa 150,000 unagawa 300,000 for stupid things! wacha watu walipe watazame upuuzi wao, siyo hela za serikali
Nilijua lazima tupigwe kwasababu ya kuingiza siasa mchezoni.Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco
KUFUZU WORLD CUP: TANZANIA YAPOTEZA 2-0 DHIDI YA MOROCCO KWA MKAPA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa magoli 2-0 licha ya kuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Mkapa ikicheza dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi E Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026.
Magoli yamefungwa na Hakim Ziyech anayeitumika Galatasaray ya Uturuki na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC aliyejifunga.
Matokeo mengine ya Kundi E, Niger imeifunga Zambia magoli 2-1, hivyo timu zote hizo zina pointi tatu kasoro Congo ambayo haina alama.