Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na timu zingine wanaofungwa wanasema Ivo Kwa Marais wao? NI Marais wangapi wamepita apa nchini na taifa star haijatoboa hiyo ngome mother has done enoughTunamshukuru Samia kwa matokeo haya.
Novatus yupi?Kocha hajui first eleven yake ni ipi amekosa mbinu kabisa
Novatus poor performance
Hao watu waliokufa wako wapi?Thank God yamefungwa! Asante bwana Yesu!
Watu wanakufa wakijigunfua kisa 150,000 unagawa 300,000 for stupid things! wacha watu walipe watazame upuuzi wao, siyo hela za serikali
Hao watu waliokufa wako wapi?
Novatus dismus Miroshi aliyetolewa kwa red card .Novatus yupi?
Jana kocha alizingua Tu yeye mwenyewe angemuingiza mama aupige mwingiWaarabu hawa wa Morocco hawana nguvu ila Wana akili ya Mpira ..Sisi tuna nguvu hatuna akili ya kucheza mpira. Timu kama ya Senegal ina vyote viwili.
Kocha nae alichemsha...alikuwa anafanya majaribio kwenye mechi muhimu. Mpira ni saikolojia Pia...samatta na msuva wangebadilisha saikolojia yawaarabu.
Halafu lazima tujifunze kucheza pressing game...wao walikuwa wanafanya hivyo...Sisi tuliwapa muda wore na Mpira...na tulikuwa kama wageni cio wenyeji. Huwezi kucheza hivyo na timu yenye talent na akili ya Mpira.
Egypt ina wachezaji kibao tu wanacheza Ligi kuu ya Uturuki(Turkish super League) lakini 80% ya wachezaji wanaounda timu yao ya taifa wanacheza pale pale Misri na hasa kutoka kwenye vilabu vya Zamaleki na Al Ahly. Huwezi ukaona wanamuita mchezaji kisa tu anacheza ulaya hata kama huko ulaya ni mkaa benchiAta mimi kesho nki sajiriwa Ulaya jua tayari na no timu ya taifa[emoji28][emoji28]bado tuna ka ushamba
Ulitaka Amrabat achezaje mkuu ? Katumia uwezo kulingana na team aliyokuwa anacheza nayo ... kwaiyo unataka kuniambia Hakimi sio mzur kwa jinsi tu alivyo cheza jana au ziyech sio mzur mkuu wale ni Quality prayer wanajua wanatakiwa wafanye nini kwenye mech husikaAmrabat yupi mbona kapuganga leo
Una makengeza weweNovatus dismus Miroshi aliyetolewa kwa red card .
Ligi ya Egypt ni sawa ni ligi ya bongo?Egypt ina wachezaji kibao tu wanacheza Ligi kuu ya Uturuki(Turkish super League) lakini 80% ya wachezaji wanaounda timu yao ya taifa wanacheza pale pale Misri na hasa kutoka kwenye vilabu vya Zamaleki na Al Ahly. Huwezi ukaona wanamuita mchezaji kisa tu anacheza ulaya hata kama huko ulaya ni mkaa benchi
Timu moja tu itayoongoza kundi ndio inapitaHivi ni timu ngapi zinapita kila kundi ?
Professional footballer hatakiwi kufanya kile alichofanyaLigi ya Egypt ni sawa ni ligi ya bongo?
Duh ndio mwisho wetu huuu.Timu moja tu itayoongoza kundi ndio inapita
Uyo uyo vi rasataNovatus yupi?
Sasa Jana akicheza nini au kisa ni mchagaUna makengeza wewe