Sisi leo ndio wa mfano kwa timu za waarabu..ni kipigo day narudia
Na munao angalia huu mpira mpaka mwisho muna moyo wa ki hamas
 
Pressing toka mbele ni nzuri tukiwa na mpira, lakini ni mbaya sana tukiupoteza mpira, jamaa wakipiga counter attack yatatukuta makubwa...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ivi hii timu wachezaji wanaitwa kutoka wapi ,mbona kama sio vipaji ,kama wameokotwa huko, hawajiongezi,
 
Wanasubiria pass za kaunta ataki na ndio hapo naposema itakuwa ni ngumu kwa safu ya mbele kuwa na tachi nyingi kwasababu mipira mingi inaishia kati
Sahih kbsa mchambuz mwandamiz
 
Leo mbna tutapigwa nyingiiii mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ