Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linapasukaaaaaaa 2hfHili basi walilopaki Tz 🙌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samata; mama shkamoo
Mama Abdul; marahaba mwanangu salama?
Samata; salama mama za huko?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aibu naona mimi
Wanasubiria pass za kaunta ataki na ndio hapo naposema itakuwa ni ngumu kwa safu ya mbele kuwa na tachi nyingi kwasababu mipira mingi inaishia katiWasiwasi umetanda kidogo hapa.
Hawa straiker wetu inaonekana ni nyumu sana kuvuka hii safu ya Morocco
WaitingHata FT inawezekana pia
Saizi ukubwa wa majina sio kitu tena
Tucheze formation ya 2-3-5Tupate point moja,tumfunge Zambia,tunaenda mtoano
Kvp?Nmemuona Lisu kwenye tv anajifutia majasho bendera yetu. Hii siyo kuinajisi