Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli .Yaani Bora moroko kuliko hawa waswahili wenzetu.kwa kuiangalia hii timu, hatuna uwezo kumfunga zambia na congo.
We sio kwa mzikiTusilaumu Wachezaji hata vipaji hatuna , wachezaji wa kuokoteza unatarajia miujiza gani?
Kiufupi hakuna kitu Tanzania tunakiweza Kwa ufasaha kiasi Cha kujivunia.
Ouk RelaaaxMi nimesema tusigombane & actually hiyo level ya kugombana na watu JF nilishaivuka mwaya.
Peace
Mbona mapema mtani congo uwacheki🤣😂😁Usiku mwema... 😂 😂 😂 😂 🐸 🐸
Watanzania wanachoweza ni singeli na vigodoro vya miso misondo.Tusilaumu Wachezaji hata vipaji hatuna , wachezaji wa kuokoteza unatarajia miujiza gani?
Kiufupi hakuna kitu Tanzania tunakiweza Kwa ufasaha kiasi Cha kujivunia.
Unaruhusu vip wachezaji waliokuwa na card za njano kurudi uwanjani kwenye mechi ngumu.Mnamlaumu bure kocha wachezaji wapo wp wa kufanya maajabu?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
@Lucas mwashambwa anaanda uzi huko wa kusifia Timu ya Taifa ya mama Samia.Asanteni Morocco kwa kutuheshimisha. Hakika hizi ni juhudi za serikali ya awamu ya 6 katika kuinua mchezo wa mpira wa miguu nchini. Nariport kutoka hapa Kizimkazi
WalewaleKwa hiyo CAF wanakosea kutukutanisha au? Tena umekosea kutaja Man U.
Hujawahi ona underdog team inashinda?
Kawambie waliompatia hiki kibarua cha kufundisha timu ya taifa.Tuletee kocha mwenye akili basi
Samata kanuna alivyotolewa, wakat ma abdu ndio kaongea nae na kampa dhamana ya kuibeba CCMSamatta anaruka ruka tu