FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

Poleni sana ndugu zangu, mjifunze mpira hauchezwi kwa maneno meng! Leo Usingizi mwororooooooooo huku wengine wamelala na viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poleni sana ndugu zangu, mjifunze mpira hauchezwi kwa maneno meng! Leo Usingizi mwororooooooooo huku wengine wamelala na viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani Metacha ameenda wapi mkuu?
 
Kwani Metacha ameenda wapi mkuu?
Hata sijui aisee! Maana hata Fei Toto ndiyo namuona leo. Shikalo ni majanga kwa mipira ya mbali na ile ya kona! Na hana kabisa timing nzuri ya kutokea mipira.

Msimu ujao ni bora tu timu ikasajili magolikipa wa ndani! Wako wengi tu wanaofanya vizuri kuliko huyu Shikalo. Kama timu itafuzu kucheza mashindano ya kimataifa, halafu mlangoni akaachwa Shikalo! Hakika yatatukuta yale ya watani zetu msimu uleee wa hamsa hamsa.
 
Viongozi wa Yanga ni wapumbavu sana, toka Kaze atoke nini wanafanya sasa, haya Mwambusi katoka ujinga tu.
Nafasi ya pili hatuipati, Prison anatusubili shirikisho kule kwao ajipigie ushenzi tu.

Kumbe mnajua kabisa nafasi ya kwanza sio yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Sarpong, Jaqouba na Saidoo kwa kifupi ni wasanii tupu kazi yao kubwa ni kujiangusha ndani ya Box ili wapate huruma ya kutenga pira wapewe goli na wasipopewa wanalia kama mtoto anayelilia titi la mama yake, bado wale waliotia brechi nywele za leo sijui walienda saloon wakijitayarisha kupendeza tarehe 08/05/2021?
 
Aiseee, leo daku litanoga na kuna mahala litadoda.

Tangu awali Utopolo walikuwa wamedhamiria kumtoa barabarani kijana wa watu, kama ile head to head iliyopita. Maana sio kwa lile Shaolin soccer walilomchezea.

Kuna wakati alianza kukata tamaa na kidogo tu aombe sub. Kwenye vibanda umiza sisi wa Msimbazi tulishamwonea huruma na kujiuliza:"kwanini Lwandamina asimtoe huyu, watamuua!". Walikuwa wamvunje mgongo au kiungo chochote kwa mara nyingine.

Nadhani Mungu naye hakupendezwa na namna walivyokuwa wanamtendea, ghafla tu akamkumbuka. BOOONGE LA GOOOOAL! Yule mtesaji Abdallah Shaibu 'Ninja' akabaki ametoa macho kama mtaalamu wa maabara anayeangalia minyoo kwenye kinyesi cha mgonjwa.

Simba mmemuona Dube lakini?Huyu hahitaji majaribio wala nini,mtafuteni haraka kuimarisha pale mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…