Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Mbumbumbu huyo usimshangae.ulisema haupotezi mda wako kuangalia mechi kimekuleta nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbumbumbu huyo usimshangae.ulisema haupotezi mda wako kuangalia mechi kimekuleta nini
Ukiona timu yoyote inaongoza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania, basi ujue Simba bado haijacheza mechi yake ya ligi.Tukishapanda huwa hatushuki, bado tuwapige makolo tuzidi kujidhatiti kileleni.
Well done team.
Kijana wao yupi huyo tena?Singida wamepata mshtuko wa kuondokewa ghafla na kijana wao jamani.
Uto watabisha 😂Ukiona timu yoyote inaongoza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania, basi ujue Simba bado haijacheza mechi yake ya ligi.
Ova
Waliokua hawatafutii uzurii kwenye mpira😅Ukikua utaacha ujinga
Watu wamelambishwa nyasi mkuu [emoji1]Sikuangalia game hivyo sina cha kuongea.
Ila kwa mujibu wa wadau jamaa kakichafua kinoma.
Ukikua utaacha utoto.Waliokua hawatafutii uzurii kwenye mpira😅
Nilisha sema tangu game na Azam kua Yanga hatoki tena pale juu.Ukiona timu yoyote inaongoza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania, basi ujue Simba bado haijacheza mechi yake ya ligi.
Ova
Nina wasiwasi na uwepo wa Pacome kwenye derby.Mpapaso nangai, goal zitaanzia 2+
Mzamiru, kanoute, ngoma, bocco abdallah hamis, Kennedy juma, onana wanaweza?Kupiga mtu chenga
Ebwana eeeh!![emoji23][emoji23][emoji23] nimepishana na utamu.Watu wamelambishwa nyasi mkuu [emoji1]
Singida huwa hatoboi kwa Yanga sio mambo ya hisia ni uhalisia. Kaza yake ni droo.Hizo ni hisia zako tu, lakini naziheshimu pia.
Hawajacheza leoMzamiru, kanoute, ngoma, bocco abdallah hamis, Kennedy juma, onana wanaweza?
Refa kivipiNyie mkiwafunga Singida kwa msaada wa refa ni sahihi, wakifungwa na Yanga inakua nongwa
H… hii game ilikuwa yetu ujue?Tuleteeni huyo mtu halafu tuwatie nyingi hadi mtafutane.
Ova
kwenye mpira hakuna jipya bro kila wanachofanya wachezaji ni marudio tu ya waliofanya waliowahi kucheza kabla yao, anachosifiwa mchezaji ni kucheza vizuri tu na skudu kwa dk alizocheza ametoa performance nzuri ukiachia mbali kuwalambisha watu nyasi hajapoteza pasi hata moja na ametengenez nafasi, ww unasemaje?Niambie kafanya kipi kipya
Vipi kaumia sana?Nina wasiwasi na uwepo wa Pacome kwenye derby.