FT | Yanga SC 2-0 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 27.10.2023

Niambie kafanya kipi kipya
kwenye mpira hakuna jipya bro kila wanachofanya wachezaji ni marudio tu ya waliofanya waliowahi kucheza kabla yao, anachosifiwa mchezaji ni kucheza vizuri tu na skudu kwa dk alizocheza ametoa performance nzuri ukiachia mbali kuwalambisha watu nyasi hajapoteza pasi hata moja na ametengenez nafasi, ww unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…