Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Majeshi ya wananchi ndiyo demokrasia ya Kweli ndani ya Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga sana, aisee mimi huwa nawachukia sana yaani wako Busy na vitu vya kijinga jinga tuwakwetu wapo bize na kupiga raia kisa kombati za mataifa mengne
Kutembea yenyewe ni tatizo kwakeAfrika Kabisa
Hawa wa sasa wanaangalia Masilaji yao, sio Masilahi ya Taifa, hawa wa kwetu si waamini hata chembeKama watu walitaka kimpindua hata Nyerere unafikir kuna mtu ana guarantee ya kubaki salama kama ataendelea ku mess up na maslahi ya watanzania walio wengi kIsa tu awafurahishe wachache?
Never say never
Wala hata hayafanani, ni ushamba tu na ujinga, nchi imejaa washamba sanaKila nchi inataratibu zake,Tz uruhusiwi kivaa mavazi ya jeshi au yafananayo na jeshi.mavazi mazuri yapo mengi sasa kwanini uvae kombati hata km sio ya Tz ili iweje!
Mimi siku ikitokea huku kwa na nchi ya ninihili nitafurahi mnoNaona ili wimbi limeanza tena baada ya kutulizwa na mfumo wa vyama vingi. Na inaonekana litazikumba nchi ambazo vyama vya uhuru bado vinashikilia madaraka tangu uhuru.
Ndio wahangaika na watu?, Huko nikukosa Mambo ya kufanya wapo Kama wanyonyaji ni kula na kunywa Kodi zetu for nothing huku Mali zinaibiwa na hawajali.Kila nchi inataratibu zake,Tz uruhusiwi kivaa mavazi ya jeshi au yafananayo na jeshi.mavazi mazuri yapo mengi sasa kwanini uvae kombati hata km sio ya Tz ili iweje!
[emoji1787][emoji1787]View attachment 2733075
Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon na kusema wamechukua mamlaka.
Wamesema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi.
Tume ya uchaguzi ilisema Bw Bongo alishinda chini ya theluthi mbili tu ya kura katika uchaguzi ambao upinzani ulidai kuwa ulikuwa wa udanganyifu.
Kupinduliwa kwake kutakomesha utawala wa familia yake iliyodumu kwa miaka 53 madarakani nchini Gabon.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Gabonese military officers said they had taken power after the state election body announced President Ali Bongo had won a third term.
A group of high-ranking military officers in Gabon appeared on TV on Wednesday to announce the nullification of the country's recent election results, citing a lack of credibility.
The move comes after the state electoral body declared President Ali Bongo the winner of a third term.
Claiming to represent all of Gabon's security and defense forces, the officers declared the dissolution of "all the institutions of the republic."
They cited "irresponsible, unpredictable governance" leading to a deteriorating social climate as the reason for their intervention, aiming to restore peace by ending the current regime. The announcement on the Gabon 24 TV channel was made on behalf of a group calling itself the "Committee for the Transition and Restoration of Institutions."
In a related development, gunfire was heard in the capital city of Libreville, according to news agency AFP.
DW News
Huku hatuna ujinga wa Gabon na huko West Africa....Hata kule East Africa, Ikipendenza
Kuna siku nilikuwa nina shida kwenye kambi ya jeshi, Kizumbi Shinyanga. Nilikodi pikipiki, kunipeleka huko, kutoka mjini. Hiyo pikipiki, ilikuwa imebandikwa kibao cha CHADEMA, "M4C".Kuna jeshi la vichaaa wa nchi flan wapo bize kusumbua raia kisa mfanano wa nguo
Link ipo wapi
Umejawa na mawazo ya kishetanishetani [emoji1787][emoji1787]Yani hao jamaa ikitokea bongo kikanuka KY jelly inawahusu
yes bro, katika malinganisho ya viwango vya earnings kwa careers baina ya mataifa dollar ndio hutumika. Kama vile tu kwenye GDP.In term of dollars?