LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
kwa hili jeshi la kikada?Yaja...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hili jeshi la kikada?Yaja...!
Kwa hiyo unataka na wakwetu wafanye Mapinduzi.wakwetu wapo bize na kupiga raia kisa kombati za mataifa mengne
My point wasnt kma CPT wala CPL hoja yangu ilikua kwa ujumla wajeshi0wa Gabon wana earn x 3 ya wajeshi wa hapa Kolomije.Mkuu unadhani CPL ,CPT au SGT ndiyo wanaopindua nchi? Top Layers ndiyo wanaokula maisha....Rejea kauli ya MABETO siku ya kuapishwa Chief Hangaya.
Wala inshu sio mabeberu ni tamaa zao tu hao viongozi hawaridhiki!!je Mugabe alikuwa kibaraka wa mabeberu?,Safi sana, hawa puppets wa mabeberu ni kuwanyoosha kama hivyo.
Wana kadi za ccm au sioo?Hawa wa sasa wanaangalia Masilaji yao, sio Masilahi ya Taifa, hawa wa kwetu si waamini hata chembe
Ni tamaa zao tu mseven naye ni kibaraka wa mabeberuWala inshu sio mabeberu ni tamaa zao tu hao viongozi hawaridhiki!!je Mugabe alikuwa kibaraka wa mabeberu?,
Ipo kwenye katiba ama ni utaratibu kama ule ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM.Kila nchi inataratibu zake,Tz uruhusiwi kivaa mavazi ya jeshi au yafananayo na jeshi.mavazi mazuri yapo mengi sasa kwanini uvae kombati hata km sio ya Tz ili iweje!