Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kujua ya Mungu mengi,waulize waliokuwepo enzi za Nyerere alitaka kupinduliwa mara ngapi ije kuwa leo,watu wakiingiwa tu na kirusi kichwani tayari mambo yanakuwa menginehuku kwetu hiyo mapinduzi ya kijeshi haitokaa itokee kamweee
tukule ugali + dagaa + kabeji = tuishii
Huyo mkuu wa Kambi ni mbuzi[emoji1787]Kuna siku nilikuwa nina shida kwenye kambi ya jeshi, Kizumbi Shinyanga. Nilikodi pikipiki, kunipeleka huko, kutoka mjini. Hiyo pikipiki, ilikuwa imebandikwa kibao cha CHADEMA, "M4C".
Sasa tumefika getini ninajieleza kwa mlinzi, akatokea mkuu wa kambi. Alivyoiona ile pikipiki, acha agombe. Eti, CHADEMA wamefuata nini hapo? Almanusra atufukuze.
Nilipoonana na mwenyeji wangu, akaniambia jamaa ni kada wa CCM wale LIALIA! Sasa, mabadiliko kupitia hawa, tusahau!
Sio Omary Bongo ni mtoto wake Ali Bongo ndio aliyepinduliwaInapendeza kwa kweli. Omar Bongo wamtie kitanzi mpaka anye.
Hata hivyo Gabon ni nchi ya tano kwa utajiri Africa nafikiri ni sawa tu kutuzidiyes bro, katika malinganisho ya viwango vya earnings kwa careers baina ya mataifa dollar ndio hutumika. Kama vile tu kwenye GDP.
M-7 dawa yako hiyo pamoja na kuweka mwanao Jeshini 😀Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.
unavyodhani katika jeshi la Gabon hakuna wafuasi na machawa lialia wa GDP (Gabon Democratic Paty) a.k.a CCM ya Gabon ??! Kwa taarifa yako Gabon mpaka ina unit maaluma ndani ya jeshi yenye jukumu la kuwakabili wapinzani wa GDP. Ebu jielimishe zaidi budaKuna siku nilikuwa nina shida kwenye kambi ya jeshi, Kizumbi Shinyanga. Nilikodi pikipiki, kunipeleka huko, kutoka mjini. Hiyo pikipiki, ilikuwa imebandikwa kibao cha CHADEMA, "M4C".
Sasa tumefika getini ninajieleza kwa mlinzi, akatokea mkuu wa kambi. Alivyoiona ile pikipiki, acha agombe. Eti, CHADEMA wamefuata nini hapo? Almanusra atufukuze.
Nilipoonana na mwenyeji wangu, akaniambia jamaa ni kada wa CCM wale LIALIA! Sasa, mabadiliko kupitia hawa, tusahau!
Putin anasema demokrasia za Africa zinakumbatia ukoloni mambo leo lazima kuwe na mabadiliko.huku kwetu hiyo mapinduzi ya kijeshi haitokaa itokee kamweee
tukule ugali + dagaa + kabeji = tuishii
Nitahusika katika kuwapakaYani hao jamaa ikitokea bongo kikanuka KY jelly inawahusu
Ukitazama sana hata majeshi yetu yanahitaji reformationKuna siku nilikuwa nina shida kwenye kambi ya jeshi, Kizumbi Shinyanga. Nilikodi pikipiki, kunipeleka huko, kutoka mjini. Hiyo pikipiki, ilikuwa imebandikwa kibao cha CHADEMA, "M4C".
Sasa tumefika getini ninajieleza kwa mlinzi, akatokea mkuu wa kambi. Alivyoiona ile pikipiki, acha agombe. Eti, CHADEMA wamefuata nini hapo? Almanusra atufukuze.
Nilipoonana na mwenyeji wangu, akaniambia jamaa ni kada wa CCM wale LIALIA! Sasa, mabadiliko kupitia hawa, tusahau!
unadhani hao wa Gabon walikua "hawali na nao" ??! mkuu hebu fanya kugoogle, mshahara wa coplo wa Gabon ni mara tatu (x 3) ya coplo askari jeshi wa Tz.
AiseeTume ya uchaguzi ilikuwa tayari imeshamtangaza Ally Bongo kuwa mshindi. Watu wamechoka na demokrasia za mchongo
There you go, so tunakubaliana kua issue sio kula au kutokula nao, maana afisa wa jeshe wa Gabon anakula mara 3 ya hawa afisa wa jeshi letu. So sio sahihi kufikiri ati Bongo a.k.a Kolomije land hayajatokea mapinduzi ati kisa watawala "wanakula nao vizuri"Hata hivyo Gabon ni nchi ya tano kwa utajiri Africa nafikiri ni sawa tu kutuzidi