Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu
Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

Gabon military officers claim power, say election lacked credibility

Omar bongo bye bye ngoja naye sasa aonje machungu ya jela maana hawatamuacha
 
View attachment 2733075

Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon na kusema wamechukua mamlaka.

Wamesema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi.

Tume ya uchaguzi ilisema Bw Bongo alishinda chini ya theluthi mbili tu ya kura katika uchaguzi ambao upinzani ulidai kuwa ulikuwa wa udanganyifu.

Kupinduliwa kwake kutakomesha utawala wa familia yake iliyodumu kwa miaka 53 madarakani nchini Gabon.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

Gabonese military officers said they had taken power after the state election body announced President Ali Bongo had won a third term.

A group of high-ranking military officers in Gabon appeared on TV on Wednesday to announce the nullification of the country's recent election results, citing a lack of credibility.

The move comes after the state electoral body declared President Ali Bongo the winner of a third term.

Claiming to represent all of Gabon's security and defense forces, the officers declared the dissolution of "all the institutions of the republic."

They cited "irresponsible, unpredictable governance" leading to a deteriorating social climate as the reason for their intervention, aiming to restore peace by ending the current regime. The announcement on the Gabon 24 TV channel was made on behalf of a group calling itself the "Committee for the Transition and Restoration of Institutions."

In a related development, gunfire was heard in the capital city of Libreville, according to news agency AFP.

DW News
🥷
 
Punde si punde kimenuka. Watawala waafrika waliobaki wanavyo sikilizia mapinduzi
20230825_142151.jpg
 
Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.
View attachment 2733084
Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Mungu sisi huku tumekosa nini? Hebu fanya jambo kama hili kwa Tanzania
 
Back
Top Bottom