Habari za uongo kuhusu mafanikio ya Royal Tour

U
Ukiitaka kujua Ie billion 100 italeta unafuu kiadi gani kwenye bei ya mafuta kwa waTanzania ambao tuko million 60 ni simple.: 100b/60m=1,667.
Jiulize kama wewe ukipewa sh. 1,667 /= zitakupa unafuu kiasi gani?
 
Haters hawaamini basi wamebaki kujaribu kuharibu kila kitu cha mama......kila dakika ni kujaribu, bila mafanikio, kurusha thread ya kuipondea Royal tour lakini wapi!!!!
Mi nawaangalia na kujisemea, HIIIIIIIIIIÌÌIIIIIIIIII
Kila mtu mwenye mawazo tofauti na nyinyi mnambatiza kuwa ni HATER!! Acheni upumbavu huo watu wote hatuwezi kuwa tunafikiri sawa sawa.!
 
Ni mjinga pekee ndiye huamini bila kuhoji[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23].

Hii nchi ili kuendelea ni lazima raia wabadiri mindset zao kutoshobokea uongo wa wanasiasa ili tuone huo upumbavu wao watampa nan.

Huyu maza pamoja na genge lake wameshindwa kupika data mpaka wanasanukiwa mapema hivi?

Huyu mvaa majuba akivuka 2025 bila kung'olewa ama kujing'oa mwenyewe basi mjuwe the karma is wrong na waTz tutakuwa tumeshindikana ktk level ya uvumilivu wa Upumbavu&Ujinga.
 
Upo sahihi, royal tour haijatimiza hata nusu mwaka toka itoke, hivyo ni vigumu kusema imeleta tija.
Mkuu kinachoendelea si unakisia kama sio kukiona? Maana wafuta viatu wanasema rolaytour ishaanza kuleta wageni, ilo ndilo ninalopinga Mimi sio vinginevyo na ñdiyo maana nikasema kama kuna kampuni yoyote iliyopata mafuliko ya wageni kinyume na booking za kawaida itupe ushuhuda. Tufauti wanavyotuaminisha akina mwijaku kama impact ya rolaytour imeanza kuonekana .
 
Kwa hiyo Tanzania imepigwa na watanzania wenyewe? 😂
 
Wanaongea chochote kwasababu wanajua hakuna watakapoulizwa.Huyo anayesema hiyo filamu imeleta impact mapema hivi yeye ndiye kilaza kwasababu swala la utalii sio sawa na kwenda sokoni kununua nyanya.High season ndo imeanza ngoja tuone hadi decembar tutakua na wagen kiasi gani ila kwasasa ni mapema sana kuanza kuzungumzia mafanikio ya hiyo filamu.vinginevyo wanaongea kumpamba malkia ili walambe asali.
 
hivi kuna Mtanzania anaamini huo uongo wa viongozi ?
 
Hao ni walevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…