furushi la kura la Boniyai Vs furushi la kura la Lema π€£
Ngoja tumalizane naona unazunguka sanaa, mimi ni mtu mzima, moja kati ya haya ni sahihiKuna level ukifika, unaweza kuomba kitu chako.
Kwa hiyo umeanzisha uzi ambao sisi hatukuelewi sio?
Naona kila mchangiaji unamjibu hivyo!
furushi la kura la Boniyai Vs furushi la kura la Lema π€£
Ngoja tumalizane naona unazunguka sanaa, mimi ni mtu mzima, moja kati ya haya ni sahihi
1.Ulishikiwa simu na mkeo.
2.Unalala ukutani, mkeo analala mwanzoni
3.Uliweka simu chaji kwa jirani
4.Ulimpa mtoto simu.
Chagua jibu sahihi.
ni mkufunzi,Naambiwa siku hizi umekuwa mhadhiri
Idadi ya Watu haizidi elfu wanachukua zaidi ya saa kumi kuhesabu!?Kumbe bado wanahesabu??
Sasa simu unamuomba nani ?Hakuna jibu hapo Mkuu
ni mkufunzi,
mdau amekosea kidogo tu π
Kiukweli huu ni zaidi ya ujimaYaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
zingatia mafurushi ya kura kwa mawakala gentleman πSawa Mkufunzi.
Ngoja tukunyooshe kidogo kwa hili la Mbowe.
Sasa simu unamuomba nani ?
Kiukweli huu ni zaidi ya ujima
zingatia mafurushi ya kura kwa mawakala gentleman π
Na senior lecturer Lucas
BabΓ mwenyenyumba aombe simu?mimi yangu inakaa hapo pembeni ya bed side ikichajika na ya mama watoto.ππ
Mkuu naona unashauku Sana
Ukiwa Baba, Mzee mwenye nyumba hutoniuliza hilo swali
Ambiere unalala sana
naelekea ukumbini kushuhudia tukio la kihistoria live πTupo hapahapa usije ukakimbia