Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wengi walikuwa karibu na makonda siyo kwa kupenda ni kutafuta ahueni chini ya utawala ule dhalimuHaji wa kumsema Makonda leo?
Nimepata somo
Kama kaonewa hana kosa lolote asilalamike? Ficha upumbavu wako.Kama alikua anakosa sasa asilale acha utoto
Napata somo kubwaH
Wengi walikuwa karibu na makonda siyo kwa kupenda ni kutafuta ahueni chini ya utawala ule dhalimu
Chidi benz alikuwa na point.Chid benzi aliwahi kumshauri Makonda kwamba aangalie pia na Magereza yaweze kukarabatiwa maana kule yeyote anaweza kwenda. (Sina uhakika kama nilimkariri vizuri Chid)
Wengi tulimpuuza tukajua labda ni bange ndiyo inaongea
Mbona Makonda alipompa milioni 10 hakukataa?Manara huyu tapeli aliyekuwa anatapeli watu hadi akajiuzulu ukatibu mwenezi wa ccm analalamika kuwekwa ndan
Makonda hafaiSalaam Wakuu,
Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri.
Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu ya mpira wa Miguu ya Yanga SC ya Tanzania, amesema atulie tuli kama ananyolewa.
Haji kadai Wakati Makonda akiwa Serikalini, alimlaza Korokoroni bila sababu.
Ipo hivi;
View attachment 2148311
Leo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.
Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).
Baada ya taarifa hiyo, Paul Makonda Aliandika hivi;
Baada ya kuandika Ujumbe huo, Haji Manara alijibu hivi;
Pia soma;
1). Wananchi kukosa imani na Polisi: CCM yaagiza Jeshi la Polisi lichunguzwe
2). Makonda: Baadhi ya Askari Polisi jijini Dar wanawalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu
View attachment 2148285
Bashite alitesa watu wengi snKiongozi Wa koa aliyewahi kuwa juu ya Rais Na kuogopwa zaidi ya Rais!View attachment 2148970
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa mbaya snAisee hadi Haji kamgeuka kisa GSM
Aliyeanza ni Makonda acha sinema iendeleeSasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.
Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.
Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa ni wa kishamba.
Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Mkuu makalio hayachagui kinyesi, na huyu Haji si mtu wa kuaminika si ndie aliyekuwa anawatukana Yanga na leo yupo wapi,huyu hana tofauti na wale wa Corner bar ambao wao kwao mtu muhimu ni mwenye pesa.Haji wa kumsema Makonda leo?
Nimepata somo
Kazi kusifia wanaume wenzake. Yeye aliwekwa ndani na bado akachukua milioni 10.Hana moral authority ya kumsema.Alikuwa chawa wake.Mkuu makalio hayachagui kinyesi, na huyu Haji si mtu wa kuaminika si ndie aliyekuwa anawatukana Yanga na leo yupo wapi,huyu hana tofauti na wale wa Corner bar ambao wao kwao mtu muhimu ni mwenye pesa.
Haji siyo mtu lakini Makonda ni shetani kabisaMkuu makalio hayachagui kinyesi, na huyu Haji si mtu wa kuaminika si ndie aliyekuwa anawatukana Yanga na leo yupo wapi,huyu hana tofauti na wale wa Corner bar ambao wao kwao mtu muhimu ni mwenye pesa.
Kinachokusumbua ni Usimba wako tu!Hawa jamaa km wanagombea bwana.
Ila mke mbishi huyu zeru. Hajiamini km bwana ni wake sasa.
Ye ni kuchamba tu mabibi wenzie
Eti Makonda amuweke ndani Simba mwenzake kindakindaki enzi hizo! Hainiingii akilini.Manara huwezi kuwa uliwekwa ndani bila sababu bhana labda useme kingine! Yaani uwekwe ndani tuu?
Kwa zile kejeli alizowapa wanaYanga uliwahi kufikiria atajiunga nao siku moja!?Kinachokusumbua ni Usimba wako tu!