Hakika wanaume wenye tabia kama ya Messi tumebaki wachache sana

Most African men are womanizers.They're not loyal at all.

Ukiona mwanaume wa kiAfrica asiyechepuka jua huyo Ni Hana pesa umaskini unawaponza wanaume wengi Sana huku Africa ila wakizipata wanafunguliaa mbwa sio poa kbsa.
 
🤣labda sio sisi watanzania huku ngono ni tamu sana hasa lile jiji litakaloaangamizwa 2024
😝😝😝😝 ngoja niondoke kabla ya maangamizi.

Ila watu waaminifu wapo, kuna watu mapenzi na sex ni katika harakati za kutimiza “ukamilifu” tu na sio kwamba ndio kitu ambacho wanakiangalia sana katika maisha.
 
😝😝😝😝 ngoja niondoke kabla ya maangamizi.

Ila watu waaminifu wapo, kuna watu mapenzi na sex ni katika harakati za kutimiza “ukamilifu” tu na sio kwamba ndio kitu ambacho wanakiangalia sana katika maisha.
Mtanisamehe! Ndugu zangu.

Kwangu Mimi ngono ni zaidi ya ukamilifu, raha, tiba ya kisaikolojia na mengn
 
Nna wasiwasi kama we ni he,na kama ni he basi ni mvulana mdogo mwanafunzi uliyevurugwa na penzi la chuo,so akili yako inakutuma uko hivyo.Kuhusu Messi sidhani kama hyo story ya kusadikika uliyoileta kama ni kweli,ila mtu maarufu yoyote wa ulaya na mwenye pesa anawindwa kuanzia na washindani wake,maadui zake na hata malaya wanaotaka kuvuna kwa kutengeneza kesi za uongo za kubakwa au kujizalisha watoto.Jamaa kama mwanaume lazima anapenda papuchi ila amefanikiwa kumantain low profile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…