Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
KIZIMKAZI ANAJUA HILI?
 
Bashungwa ni Kafara la Mzanzibari. Mradi ulishahujumiwa.
Innocent bashungwa ...... wizara yake haihusiki na mradi wa sgr mtamlaumu bure kijana wa watu ....yeye yupo wizara ya ujenzi ,anasimamia miradi ya barabarani.iliyochini ya tanroad,na magorofa yaliochini ya tba na NHc
 
This is unaccepatable huu mradi haiwezekan ukaachwa ukafa itakuwa loss kubwa ya takriban trillion 23+ sisi kama taifa hatuiwez hii hasara na fedhea
SGR ilikuwa propaganda
Hapakuwa na sababu ya kutumia pesa zetu au za kukopa kujenga reli
 
"Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda" - Nukuu
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
Kama mtu ama kikundi kinafahamika kuwa kipo nyuma ya ufisadi huu, basi ni vyema wahusika wakawekwa wazi ili mijadala kwa umma ianze, natambua itabamba sana kama ilivyokuwa katika sakata la mkataba wa DPW na bandari.
 
Nani yupo nyuma ya hujuma hii?
Nyuma ya hujuma hizi wamo,
1. Mawaziri na wabia wao wenye kampuni za usafirishaji eg. Esther Luxuries, Lake Oil etc
2. Wabunge na wabia wao wenye kampuni za Usafirishaji eg. Aboob Bus service, Shabiby Line,, GSM
3. Wabia wa wakurugenzi na watoa maamuzi kwenye Serikali wenye kampuni za usafirishaji eg. Sharoom, world Oil, Nas etc.
Kwa sasa chuma kimeingia kutu, huu mradi ambaye engeweza kuthubutu kukamilisha JPM (RiP); hujuma za miradi kama hii zinafanywa na hao juu!
 
Pita tandale,sinza nk uone
Nyie sahv kufagia tu barabara mtihani...

Ova
Ili la kufagia hizo barabara limekuea mtihani kweli kweli. Inaonyesha tumezoea barabara za vumbi. Barabara unakuta imejaa mchana kwa zaidi ya 70% ya njia nzima.
Maintenance hatuwezi kabisa. Tunachoweza ni kuzindua tu
 
Jiwe alikuwa na mabaya yake lakini angekuwepo leo SGR ingeshakuwa inapiga kazi na sehemu nyingine ujenzi unaendelea vizuri
Yule jamaa alikuwa vizuri sana kwenye miradi
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
Bila kumdhibiti Mzee wa Msoga na yule rafiki yake aliyenunua kampuni ya Tigo,hatutoboi milele!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
"NANI YUKO NYUMA YA KUFA KWA MRADI WA SGR".

Ni swali zuri sana mkuu 'peno hasegawa'.

Hili swali, kidogo lingefanana na lile ambalo sote tungejiuliza "Ni Nani Alitaka Kuuua Mradi wa Bwawa la Umeme, la Mwalimu Nyerere." Huku ikaonekana watakuwa wamejifunua kiasi kikubwa mno, hadi nyeti zao kuwa nje nje; wakaona siyo neno, wakaachia kwa shingo upande.

Kwa hiyo, ukitaka kupata jibu la maswali yote mawili, sidhani kuwa itakuwa vigumu kwako kupata jibu.

Serikali ya Samia inaendeshwa na genge linalozoa kila kitu. Genge hili halina simile na chochote, na wala halina aibu kufanya chochote linapodhamiria kukifanya.
Mfano mzuri ni wa DP World na IGA yake. Mtu mwenye uadilifu hata kidogo, hawezi kamwe kushiriki katika mpango wa aina ile.

Kwa hiyo hapa kwa SGR, tutalia sana endapo serikali ya huyu mama itaendelea kuwepo madarakani. Huo mradi itakuwa ni aibu kubwa sana kwa taifa letu.

Nikisoma yaliyo andikwa ndani ya mada hii sioni lolote la tofauti na yale mengine yooote tunayolia nayo kila siku chini ya hawa watu; lakini nimevutiwa sana na hilo swali, na nadhani ingekuwa na faida zaidi kujaribu kujibu hilo swali kwa usahihi zaidi, kuliko machozi yote haya uliyomwaga hapa.
Shida wale watu wa Ngome wanatuangusha na kutukosea sana.Hivi wanaelewa jukumu lao la kulinda kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Sasa tufanye nini mkuu?
Mi nadhani hilo ndilo la muhimu zaidi kwetu sote.
Huu mradi lazima uishe lakini kuna kitu nchi hii lazima tufanye kwa dhamira kubwa bila kujali itikadi zetu. Ni lazima kuwe na sheria kali kabisa za kuwakamata hawa wanaofaidika na miradi hii sababu njia kubwa ya kuiba pesa ni miradi dunia nzima, hata UN majanga yakianza ndio vichaka vya kupiga. Ni lazima tufike wakati na sio kwenye mradi huu tu mingine wawe wanaitwa na kuhojiwa Live kwenye TV na kueleza kila kitu kwa uwazi na mtu akikutwa anahatia basi apelekwe mahakamani na hawa sio kufungwa tu ni kutaifishwa mali zote, pia ku trace kama mali zimeandikwa majina mengine kuepuka kushikwa zote zinataifishwa mnamrudisha kama alivyotoka kijijini kwao tukija kufanya hivi ndio tutakuwa na adabu. Ni kama ukishikwa unaiba maji au umeme haijalishi umeanza jana tu kuiba unapigwa fine ya miaka 30 huko ulikuwa unaiba, bila kuwa serious katika hili tunapoteza muda tu. China sijui South Korea hawana msalie mtume kwenye kuiba mali ya umma wana sheria kali sana hapa duniani.
 
Chakufanya wapelekwe aridhini, kwa hatua yalipofikia haya majizi hakuna namna nyingine.
Ninakubaliana na wewe; lakini swali jingine linakuja: tutaanzia wapi, nani atasimamia kazi hiyo ya kusafisha taifa letu kuondokana na takataka hizi.

Kwa hali ya kawaida, mimi ni muumini mkubwa wa kinachoitwa "Demokrasi"; lakini kwa hali tuliyonayo hapa kwetu, tukipata 'Dikteta', kiongozi asiyetenda uovu kwa mtu bila sababu za msingi, lakini anayejali maslahi ya nchi hii, kiongozi huyo anahitajika sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote.
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
hii itamfumua mtu kwenye kampeni za 2025 hii. walisema pesa zimekopwa, zipo. halafu kuna mpunga mwengine mrefu sana ulikpwa benki ya dunia ili kujenga gati za bandari, tunataka tujue na hizo pesa zimeenda wapi manake kwa namna wanavyotaka kutaifisha bandari basi hizo pesa wangepeleka kwengine, wangepeleka imalizie SGR. yajayo yanafurahisha.
 
Shida wale watu wa Ngome wanatuangusha na kutukosea sana.Hivi wanaelewa jukumu lao la kulinda kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nami mara kadhaa najiuliza swali hilo mara kwa mara, ingawaje bado ninayo matumaini kwamba haitakuwa lazima wahusike wao, kwani hali hii tuliyofikia sasa italazimu tu tuirekebishe wenyewe nje ya ushiriki wa hao watu wa ngome.
 
Huu mradi lazima uishe lakini kuna kitu nchi hii lazima tufanye kwa dhamira kubwa bila kujali itikadi zetu. Ni lazima kuwe na sheria kali kabisa za kuwakamata hawa wanaofaidika na miradi hii sababu njia kubwa ya kuiba pesa ni miradi dunia nzima, hata UN majanga yakianza ndio vichaka vya kupiga. Ni lazima tufike wakati na sio kwenye mradi huu tu mingine wawe wanaitwa na kuhojiwa Live kwenye TV na kueleza kila kitu kwa uwazi na mtu akikutwa anahatia basi apelekwe mahakamani na hawa sio kufungwa tu ni kutaifishwa mali zote, pia ku trace kama mali zimeandikwa majina mengine kuepuka kushikwa zote zinataifishwa mnamrudisha kama alivyotoka kijijini kwao tukija kufanya hivi ndio tutakuwa na adabu. Ni kama ukishikwa unaiba maji au umeme haijalishi umeanza jana tu kuiba unapigwa fine ya miaka 30 huko ulikuwa unaiba, bila kuwa serious katika hili tunapoteza muda tu. China sijui South Korea hawana msalie mtume kwenye kuiba mali ya umma wana sheria kali sana hapa duniani.
Unayoeleza hapa, ni moja ya mambo aliyosifiwa nayo Magufuli, pamoja na maswala mengine ambayo hakuyfanya vizuri.

Mimi ninakubaliana nawe, haya yote yakifanyika ndani ya sheria zetu zilizopo, bila kuoneana.
Sasa tatizo linabaki palepale, tuanzie wapi?
Nani ataongoza juhudi hizi.
Tutampata wapi Magufuli mwingine (mwenye utulivu wa akili zaidi) aongoze mapambano haya?
Mie namtafuta Edward Sokoine, zaidi ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom