Dude la mbinguni
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 112
- 35
Halima ni tapeli na muongo hatufaiKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Unahofu ya kushindwa![emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie huyo aliyekutuma mwenye mkono wa baunsa kuwa JF hatutaki upuuzi upuuzi na propaganda mfu!
Huna jipya,kazi yako kuandika na kujijibu mwenyewe!Ukiona hivyo ujue umeshapuuzwa JF!
Tujihadhari na mtu mchafu, mwenye matusi, kawatukana viongozi wote wakubwa wa dini kama Mwadhama Kardinali Pengo, Mufti na wengine. Kuna picha chafu sana zimesambaa akiwa gesti na malaya. Kila mtu aliona jinsi Gwajima alivyosambaza ujumbe kwa lugha ya kisukuma akiwataka wasukuma wote wamsapoti magu, huu ni ukabila mkubwa na hatari kabisa kwa mshikamano wa nchi yetu. Yapo mengi mno pamoja na "askofu" huyu kuhusianishwa na waabudu shetani. Ni mtu hatari kwa kifupi wana Kawe kaeni mbali kabisa na mtu huyu.Pimbi wewe umeanza kupiga kura mwaka huu nini unajua wakubwa zako Halima alivyotuchijia baharini baada ya kufika mjengoni
Gwajima oyeeeeeee kawe mpya yenye maendeleo ndio tunayo itaka sisiKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Twenzetu na Gwajima, kawe mpya inakujaKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Halima mdee unafaa kuuza vitumbua vya miamiaKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Huyu Halima kwa sasa hana sera za kutuambia wana Kawe tukamuelewa.
Uhai wa siku 3 humu lakini Sasa unavyojikamua kwa nyuzi zilizokufaKusema kweli Jimbo la kawe tumeteseka saana kwa kumuamini halima ,sasa lazima tumtume Gwajima akatuletee maendeleo
yani huyu Halima anajiaibisha tuu kwa sbabu akuna alichokifanya kwa wana kawe sasa anaenda kwa sura ipi na wana kawe si wajingi kiasi kwamba wampokee vizuri lazma yamkute yakumkuta na asipo jiangalia ataumizwa maana ana kera watu kwa hoja zake za uongoooKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Alafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.Huyo porn star hapana
Kweli kabisa halima ameshindwa kutekeleza aliyotuahidiKatika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.
Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo
Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Alijirekodi na wewe acha ushabiki wa maandazi weweAlafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.