Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Niliweka uzi hapa watu wakanipinga,Aziz key ni mshika pembe tu pale,hatabusu la shavuni hajawahi kupata,atajikuta signing fee yote inaliwa na mzigo hapati,mobeto ni kajambazi
Wewe ulisema tofauti bwana. Kwamba Hamisa anatumika kumbakisha Aziz Ki Yanga, anamchuna sijui nini ndio nikakwambia wala hawana mahusiano Hamisa yupo na Kigogo pale Yanga.
 
Hahaha...............Wazee tumechoka kunyanyaswa na Vijana 🤗

Bora turudie enzi za Mzee Machache, tu-take over

Maana Mzee mwenzetu alijitahidi kutuwakilisha Wazee wenzake kwenye hiyo Sekta 😜
Machache ana sanamu lake mioyoni mwa wadada kwakweli, alijua kuuchapa muhuri wa jina lake mioyoni mwao.

Ana sifa moja kuu, roho kunjufu.
 
Pengine Hamisa ana shida kichwani au ametupiwa kitu anapaswa kwenda kwa Mwamposa ni wazi ana mikosi😂😂😂. Shida ya Hamisa sio kupata mwanaume wa maaana shida ya Hamisa ni kumtunza to keep…..! Huyo kigogo atajipigia halafu atamtupa wengine watakamata! Hamisa anayoshida lazima amtafute Mwamposa au Gwajima😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Hilo jambo linaniumiza sana, lakini ipo siku atampata wake wa kudumu. Bado ana nafasi.
 
View attachment 3005811

Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga.

Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la kificho kwa takribani mwezi wa pili sasa.

Penzi lilimea SA, Ubuntu Botho!
Wawili hao walikutana kwenye ndege wakati wa kuelekea kwenye mechi ya marudiano ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, CAFCL dhidi ya miamba ya Soka ya Afrika ya Kusini Mamelody Sundowns.

Kigogo huyo kijana mwenye haiba ya kitanashati na mwenye sifa kuu tatu wazipendazo zaidi wanawake kutoka kwa wanaume… tall, dark and handsome jina lake hutajwa kwa kutanguliwa na taaluma yake.

Inataarifiwa kwamba wawili hao walizama penzini punde tu walipokutana kwenye ndege, na hadi kutua S.A penzi lilishachipua!

Taarifa zaidi zinasema hata uwanjani walienda kwa gari moja, na walikaa jukwaa moja!

Aziz Ki atumika kuokoa jahazi!
Mwamba kutoka Ouagadougou, Stephen Aziz Ki anatajwa kutumika kuinusuru ndoa ya Kigogo huyo wa Yanga mara baada ya mkewe kushtukia mchezo.

Kama mnavyotujua wabongo huwa tunanyimana michongo ila sio umbea, taarifa zilimfikia mke wa Kigogo ambaye aling’aka na kupelekea ndoa kuwa rehani!

Mwamba Aziz ambaye anatajwa kama mchezaji pendwa zaidi na Kigogo huyo klabuni hapo, ilibidi atumike kutengeneza mapichapicha ya kumpoza mke wa Kigogo.

Ndio yale mliyoona mara wako pamoja wakitokea uwanja wa ndege, wakikumbatiana uwanjani na kwingineko yote yale ni maigizo, Ki hana mahusiano ya aina yoyote na Hamisa bali alitumika kumnusuru boss na mshkaji wake kuepuka dhahma kutoka kwa mke wake.

Penzi hatarini kuvunjika muda wowote!
Baada ya wambea kumsanua mke wa Kigogo, inasemekana wapenzi hao wako hatarini kuachana muda wowote kutokana na suala hilo kumkalia vibaya Kigogo.

Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na Hamisa.

Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!

Hapo kabla alianza kutoka na Kigogo kutokea Simba, japo penzi lao lilikuwa mithili ya upepo kwani halikudumu.

Lakini licha ya kutokudumu, penzi hilo lilitumika kama chambo kumpatia Mwijaku ajira Simba.

Chanzo changu nyeti kimesimamia show,

Nifah.
Kwa sisi wanaume, jambo kama hili ni la kawaida sana kitokea. Binafsi nimelichukulia kama ni la kawaida sana.
 
Wala sio Muhindi mwaya, siku nikipata baraka za chanzo changu nitaruka nao.

Yani Hamisa nampenda jamani natamani apate wa kutulia nae ila ndio hivyo tena.

Ila kichwa chake kiko vizuri, maisha anayoishi sio madogo na rahisi. Hamisa ndio mwanamke ghali sasa hivi kuliko mastar wote wa kike, amejua na kuweza kujibrand.
hv nikiweka 1000usd mezani kwa usiku mmoja atachomoa kwel?
 
View attachment 3005811

Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga.

Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la kificho kwa takribani mwezi wa pili sasa.

Penzi lilimea SA, Ubuntu Botho!
Wawili hao walikutana kwenye ndege wakati wa kuelekea kwenye mechi ya marudiano ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, CAFCL dhidi ya miamba ya Soka ya Afrika ya Kusini Mamelody Sundowns.

Kigogo huyo kijana mwenye haiba ya kitanashati na mwenye sifa kuu tatu wazipendazo zaidi wanawake kutoka kwa wanaume… tall, dark and handsome jina lake hutajwa kwa kutanguliwa na taaluma yake.

Inataarifiwa kwamba wawili hao walizama penzini punde tu walipokutana kwenye ndege, na hadi kutua S.A penzi lilishachipua!

Taarifa zaidi zinasema hata uwanjani walienda kwa gari moja, na walikaa jukwaa moja!

Aziz Ki atumika kuokoa jahazi!
Mwamba kutoka Ouagadougou, Stephen Aziz Ki anatajwa kutumika kuinusuru ndoa ya Kigogo huyo wa Yanga mara baada ya mkewe kushtukia mchezo.

Kama mnavyotujua wabongo huwa tunanyimana michongo ila sio umbea, taarifa zilimfikia mke wa Kigogo ambaye aling’aka na kupelekea ndoa kuwa rehani!

Mwamba Aziz ambaye anatajwa kama mchezaji pendwa zaidi na Kigogo huyo klabuni hapo, ilibidi atumike kutengeneza mapichapicha ya kumpoza mke wa Kigogo.

Ndio yale mliyoona mara wako pamoja wakitokea uwanja wa ndege, wakikumbatiana uwanjani na kwingineko yote yale ni maigizo, Ki hana mahusiano ya aina yoyote na Hamisa bali alitumika kumnusuru boss na mshkaji wake kuepuka dhahma kutoka kwa mke wake.

Penzi hatarini kuvunjika muda wowote!
Baada ya wambea kumsanua mke wa Kigogo, inasemekana wapenzi hao wako hatarini kuachana muda wowote kutokana na suala hilo kumkalia vibaya Kigogo.

Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi ya anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na Hamisa.

Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!

Hapo kabla alianza kutoka na Kigogo kutokea Simba, japo penzi lao lilikuwa mithili ya upepo kwani halikudumu.

Lakini licha ya kutokudumu, penzi hilo lilitumika kama chambo kumpatia Mwijaku ajira Simba.

Chanzo changu nyeti kimesimamia show,

Nifah.
Manara kazi yake ni kuwauza mastaa, hapo keshakula chake hana habari tena, jamaa dalali flani fala hivi
 
Back
Top Bottom