Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Hamna mtu mwenye tatoo mwenye tabia nzuri

Ila ni kazi nzuri.(joke).
Nadhan kinachotesa watu wengi ni kutokukubari kuwa binadam wote ni sawa lakin si sawasawa. Kwamba kila jamii ina standards zake na ni sahihi kwake jamii hiyo. Kuiga kuna maana endapo hakukutoi kwenye standards za jamii yako.
bahati mbaya waafrica tunaiga bila ku maintain standards zetu yan tamadun, mila na desturi.
 

Attachments

  • VID-20230104-WA0004.mp4
    1.7 MB
atusemi agano la kale kwamba limepitwa na wakati kwakuwa Mwokozi alisema hakuna neno hata moja litabadilika ilaaa kwa agano lake hili jipya amri kubwa aliyotufundisha ni UPENDO.
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Ndiyo maana cr7 hajachora hago madude
 
Kuna mwanamke nilikuwa nakapenda kanauza bar hapo dagaadagaa kibo ,siku moja akanibless tunda lake Kweli ilikuwa ashb HV saa tano HV bas nikakavua nguo kumcheki vzr tokea takoni Hadi juu kachora tatoo ya nyokaa kichwa kinatokea kwenye shingo kwa juu aisee nilishindwa kumchakata pmj na kwamba aliniblesss jicho lake ila niluogopa Sana niliona nalal na joka mkp leo hi yule demu Ana amani na mm niliona kbsa Happ Kuna mirohoo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapo tofauti zenu ni nini?
Aliyechora tattoo akatoa jicho na asiyechora tattoo akala jicho,
Kwenye ulimwengu wa roho nyote ni washenzi tena piteni huku [emoji117]
 
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?

Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.

Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.

Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.

Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.

Law 19:28 SUV​

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
hayupo hata mmoja. sema kuna exceptions, mfano mtu alikuwa na maisha mabaya huko akajichora tatoo ambazo hazifutiki, baada ya kubadili maisha labda amempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, zile tatoo bado anazo. same applies kwa wanawake wanaojichubua, unakuta alikuwa amejichubua hadi anakuwa kama uyoga, baadaye anarudi kwa Mungu, lakini ngozi imeshaondoka. watu wa aina hiyo haipaswi kuwahukumu na kuona kama wenye tabia mbaya.
 
umesahau kuwaasema na wale wanaweka kipini kwenye ulimi, mdomoni na kwenye clitoris. just imagine.
 
Screenshot_20230113-170905.png

Hakuna chochote juu ya tatoo hizo ni Imani zenu mlizodanganywa na wachungaji.
Kuna wamakonde chale wale kuchora tatoo ni sehemu ya tamaduni zao.
Screenshot_20230113-171239.png

Kama ni laana ulevi uzinzi vingempata Messi na Carrier yake ingekuwa ukingoni lakini ndio mwanasoka aliyefanikiwa zaidi.
 
Failure zenu katika maisha mmeamua kuja kusingizia tatoo.
Wangapi hawana tatoo lakini wana tabia chafu vibaya mno
Pambaneni maisha hayahitaji visingizio
 
Back
Top Bottom