mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Huwezi kuwa "Independent Variable" wakati unapokea kila lisemwalo ukalimeza na kulisambaza.Siko Serikalini Wala TPA so siko kwenye nafasi ya kujibu Hilo.
Wa tag wahusika wapo kwenye social media..
Mimi ni independent variable
Umeleta hoja, jibu hoja za majadiliano. Kama una hoja isiyo na ushahidi, usiileta humu JF